Mimi Ni mlutheri but sitaki huu utumwa wa kufikiri so nasoma sana ili nisipotee kwa kukosa maarifa na niione Ile kweli itakayoniweka huru.dash kumbe kuna wakristo wanajitambua sana!! mleta madaMAKOSHNELI na Emmadogo nyinyi Ni dhehebu gani?
Kama ulivyoambiwa hawa watu wanacontrol media na hizo Hollywood movies so usitegemee watakupa kile ambacho unataka wewe. They tell you what to think.It sound so weird and sometimes interesting....Duuuuh kwa hiyo ile escape from sobido ni fake story ..??
Waingereza walibadili story ya ile Vita na wakajipa ubabe kwamba wao ndio waliomtoa Hitler nanhii liliwaudhi warusia maana waliona watu wake walikufa for nothing na wakati wao ndio walimtoa Hitler but wakafichwa kwenye historyIt sound so weird and sometimes interesting....Duuuuh kwa hiyo ile escape from sobido ni fake story ..??
Yes. Hebrews ni jumuisho ya watu waliokuwa utumwani Misri. Ijapokua majority ya Hebrews walikua Israelis. Ukisoma history. Hebrew slaves ilikua ni multi race . ukisoma bible utajua hakuna mstari Israelite wanajitaja wao ni Hebrew Bali wamekuwa wakiitwa hivyo na watu wengine.Hebrews and Jews..Are these people different?
Baada ya wana wa israel kuingia Kaanani walikuwa wanatawaliwa na Joshua sasa baada ya Joshua kufa wakawa wanatawaliwa na "WAAMUZI" au ma JAJI waliokuwa wanafuata sheria ya Musa (Torati) kwa muda wa miaka 400 sasa baada ya hiyo miaka kuisha wakatamani na wao wawe na Mfalme kama tu mataifa mengine yalivyokuwa na wafalme wake 1Samuel 8:5 Mungu akawachagulia SAULI ambaye alitawala miaka 40,akafuata mfalme DAUDI naye alitawala miaka 40,then akafuata mfalme SULEIMAN naye pia alitawala miaka 40 (ndio hiki kipindi cha mfalme Suleiman Israel walijenga hekalu la kwanza) sasa wakati Suleiman kawa mzee alibadirika akamuacha Mungu akaenda kuoa Binti yake farao ambaye alimbadirisha moyo wake 1Wafalme 3:1 na kuendelea utaona suleiman alibadirika tabia akaacha kumcha Mungu,sasa matokea yake ya kukengeukaMungu akamwambia Suleiman kuwa katika kabila 12 za Israel Mtoto wake ambaye angetwaa ufalme baada ya kifo chake hatatawala kwenye kabila 10! kimsingi nyumba ya suleiman ilinyang"anywa madaraka kutoka kabila 12 kwenda kabila mbili,Sasa baada ya kifo cha Suleiman Ufalme wa Israel ukagawanywa sehem mbili kusini na kaskazini,Hebrews and Jews..Are these people different?
Ntarudi baadae maana kama sielewi elewi hv..Yes. Hebrews ni jumuisho ya watu waliokuwa utumwani Misri. Ijapokua majority ya Hebrews walikua Israelis. Ukisoma history. Hebrew slaves ilikua ni multi race . ukisoma bible utajua hakuna mstari Israelite wanajitaja wao ni Hebrew Bali wamekuwa wakiitwa hivyo na watu wengine.
Ukirudi kwenye hoja za mtoa mada unajifunza ya kwamba hajui Historia ya Jews hasa baada ya Roman empire.
Mtoa maada anaandika ya kwamba Jews Wa Ethiopia ndiyo anaamini ni Jews kamili. Sababu yake kuu ni uzao wa Solomon. Lakini hataki kujiuliza ilipita miaka mingapi kati ya kipindi cha Solomon na hadi kipindi ya Yesu.
Kwa kumsaidia wengine wa Sephared Jew ni matokeo ya Jews kwenda utumwani enzi za Babylon ya Nebkadnezel. Hasa makundi ya Iraq Jews, Kurd Jews, India Jews Iran Jews na Syria Jews. Hawa hawakuawa Israel hata kipindi cha Yesu na Roman empire. Hawa wamekaa nje ya Israel kwa zaidi ya karne 20 na wametunza Judaism na utamaduni wa kiyahudi kwa maelfu ya miaka. Na Historian yao iko recorded and clear.
Ashkenazi. Hawa ni Jews walioenda mataifa ya ulaya hasa Ujerumani, minor Asia na Eastern Europe. Wanaitwa ASHKENAZ kwa maana Kiblia means wa Japhet aliitwa Ashkenazi. Na inaaminika wazungu ni wana wa Japhet basi wayahudi walikoa maeneo yaliokaliwa na wana wa Ashkenazi na wao wanatambuliwa kama Ashkenazi Jew. Yaani wayahudi wa kwa Ashkenazi.
Hii ni kawaida kabisa hata Africa ipo mfano Watutsi walioenda ukimbizini Kongo na kukaa maenelo ya Mulenge wanaitwa Bhanyamulenge.
Kuhusu DNA.
Nachojua kizazi kikiachana kwa miaka 2000 jumlisha intermarriage na chakula tofauti, basi DNA hutofautiana kwa kiasi kikubwa.
Kilichofanya Ashkenazi jew kuwa weupe zaidi ndicho hicho kilichofanya wazungu kuwa weupe pia. Kumbuka miaka 2000 so mchezo.
Kuhusu sijui Igbo, blacks na Indians kuwa Jews.
Kwangu na uelewa wangu naamini A Jew can be black, coloured or white. Lakini lazima Historia iwe na mambo zifuatavyo...
1. Wawe wanarecord ya kuabudu katika Judaism zaidi ya miaka 3000. Natambua kuna Jew ni wapagan. Lakini kama jamii ya kijew hakuna jamii nzima haina element za Judaism.
2. Lugha yao lazima iwe na element za kiebrania.
3. Tamaduni za kiyahudi zionekane kama Sabbath
4. Majina yao yajipambanue na uebrania.
5. nk
Mwanzo mwisho umesimama na Facts za kiistoria tu katika mjadala wa kidini nilitegemea ungekuja na maandiko ambayo yangekuunga mkono hicho ulichoandika kingefaa sana kwenye mjadala wa historia ila huu ni mjadala ambao unagusa dini unatakiwa utetee hoja zako kwa maandiko sio kwa story story tu, Mfano unaposema wayahudi hawajiiti waebrania bali huitwa na watu wengine hivyo Soma Yeremia 34:9 "Ya kwamba kila mtu amweke huru mtumwa wake,na kila mtu amweke huru mjakazi wake,ikiwa yule mwanamume au yule mwanamke ni mwebrania mtu yeyote asiwatumikishe,yaani asimtumikishe Myahudi,Nduguye" Umeona sasa unachokisema wewe hakiendani na maandiko !Yes. Hebrews ni jumuisho ya watu waliokuwa utumwani Misri. Ijapokua majority ya Hebrews walikua Israelis. Ukisoma history. Hebrew slaves ilikua ni multi race . ukisoma bible utajua hakuna mstari Israelite wanajitaja wao ni Hebrew Bali wamekuwa wakiitwa hivyo na watu wengine.
Ukirudi kwenye hoja za mtoa mada unajifunza ya kwamba hajui Historia ya Jews hasa baada ya Roman empire.
5. nk
Mkuu, wakati wa biashara ya utumwa, kabila la Igbo lilikuwa linapatikana kusini mashariki ya Nigeria ya sasa. Kama inawezekana unaweza kutufahamisha ilikuwaje hadi wakakaa kule?Wanatumikishwa na SHETANI kwenye hizo Illuminati worshiping Ni utumwa mbaya coz mle unauza roho yako for good! Sio. Mwili roho!
[emoji3] [emoji2] [emoji1] usihofu polepole utaelewaNtarudi baadae maana kama sielewi elewi hv..
Historia ya Israeli kwanzia mwanzo mpaka mwisho ipo kwenye Biblia kama unaamini Biblia ni neno la Mungu na hakuna mtambuka wake basi soma biblia tu kujua historia yao ila kama unavitabu vingine vya pembeni unaweza kuvisoma kukuongezea uwezo wako tu wa kufikiri ila sio kujua historia ya kweli ya israeliKila maskani ina wenye fikra, historia ya Israel ni mtambuka si kwenye biblia tu kama inavyoaminiwa na mtoa maada
OK. Mtumishi. Kuhusu jina Ebrania na maana take soma Mwanzo 39:14-17 na Kutoka 2:6. Mwanzo inazungumzia pale Yusuph maana yakobo alipouzwa kwa Potifa na mke wa potifa akamuita Mwebrania. Jihoji kwanini amuite mwebrania wakati yeye Yusuph ndiye Muisrael wa kwanza kufika Misri.Mwanzo mwisho umesimama na Facts za kiistoria tu katika mjadala wa kidini nilitegemea ungekuja na maandiko ambayo yangekuunga mkono hicho ulichoandika kingefaa sana kwenye mjadala wa historia ila huu ni mjadala ambao unagusa dini unatakiwa utetee hoja zako kwa maandiko sio kwa story story tu, Mfano unaposema wayahudi hawajiiti waebrania bali huitwa na watu wengine hivyo Soma Yeremia 34:9 "Ya kwamba kila mtu amweke huru mtumwa wake,na kila mtu amweke huru mjakazi wake,ikiwa yule mwanamume au yule mwanamke ni mwebrania mtu yeyote asiwatumikishe,yaani asimtumikishe Myahudi,Nduguye" Umeona sasa unachokisema wewe hakiendani na maandiko !
Historia ya Israeli kwanzia mwanzo mpaka mwisho ipo kwenye Biblia kama unaamini Biblia ni neno la Mungu na hakuna mtambuka wake basi soma biblia tu kujua historia yao ila kama unavitabu vingine vya pembeni unaweza kuvisoma kukuongezea uwezo wako tu wa kufikiri ila sio kujua historia ya kweli ya israeli
OK. Mtumishi. Kuhusu jina Ebrania na maana take soma Mwanzo 39:14-17 na Kutoka 2:6. Mwanzo inazungumzia pale Yusuph maana yakobo alipouzwa kwa Potifa na mke wa potifa akamuita Mwebrania. Jihoji kwanini amuite mwebrania wakati yeye Yusuph ndiye Muisrael wa kwanza kufika Misri.
Kutoka 2:6 Inazungumzia mototo Musa alipookotwa wamisiri waliitambua kama Muebrania.
"Maana" nilukusudia kuandika Mwana.Y
Yusufu sio Yakobo. Yusufu ni Yusufu. Yakobo ndiye Israel
Hayo maandiko iliyo refer kutoka kwenye Bible umeyachambua kulingana na hivi zako.
Jibu hili swali, Mungu alipoweka Agano na Ibrahim kuwa atakae kubariki nitambariki na stakaye kulaani nitamlaani. Je hili Agano mpaka sasa lina fanya kazi ama lilikufa na Ibrahim?
Agano lipo pale pale kwa wana wa Abraham wa kiroho na kimwili isipokuwa lina masharti mkuu ndiomaana wana wa israel walipokuwa wanakiuka Mungu anawaacha waende utumwani na wakimrudia Mungu anakumbuka Agano anawarudisha ndiomaana kumbukumbu la torati 28 Yoote Mungu akawawekea masharti mbona ni rahisi kuelewa?! Shida yenu mnalazimisha kuamini tu kwamba wale jamaa walikuwa wanabarikiwa na kulindwa na Mungu hata wasifuate maagizo ya Mungu au wafuate sababu ya agano la Abraham ndiomaana walivyokuwa wakitenda dhambi Mungu alikuwa anawaambia wamelivunja agano lake Yoshua 7:11!
Yeah Ni kama ukimuahidi mwanao kuwa akipasi itamnunulia baiskeli then asipopasi basi no baiskeliHivyo unamaanisha kuwa Isralites wakimwasi Mungu agano halifanyi kazi?