Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,931
Haya ni matukio yanayofanywa na makada wa ccm dhidi ya CHADEMA kuanzia leo. Nitaendelea kubandika hapa kila yanapotokea leo nchini.
WanaCCM wamawavamia mawakala wa CDM kwa kuwashambulia vikali. Wamechoma moto piki piki ya M4C. Wananchi wanazidi ichukia CCM
Wana Jf,
Hali si shwari katika uchaguzi mdogovwa makuyuni, CCM wamevamia vituo vya kura, mawakala wa CHADEMA wamepigwa vibaya sana.
Kamanda Nassari naye kaumizwa vibaya sana.
Jamani watanzania tunaelekea wapi kwa hali hii?
Ee Mungu utusaidie sisi wanao!