Uhalali wa risiti za EFD

Coping Strategy

JF-Expert Member
Mar 30, 2014
439
384
Wakuu, naomba msaada hii ni receipt ni halali? nimepewa petrol station baada ya kununua mafuta ya 30,000.
 

Attachments

  • 1456425465346.jpg
    1456425465346.jpg
    17.2 KB · Views: 358
Kaka huyo jamaa ana kesi ya kujibu na wewe lazima utapewa cha kwako cha juu sijui ni % ngapi...
Ila huyo jamaa inakuwaje VAT ni 0?
Tra wamekosa sana mapato ... Kweli inabidi wananchi wenyewe tuamke....bro usiitupe hio risiti ipeleke tra
kuna uwezekano hizi mashine zipo nyingi sana , mana hatuna hulka ya kusoma description.
 
Ka report POLICE + TRA, ni fake . wamfungie kituo chake hicho Miaka 10 ya Magufuli
 
Kaka huyo jamaa ana kesi ya kujibu na wewe lazima utapewa cha kwako cha juu sijui ni % ngapi...
Ila huyo jamaa inakuwaje VAT ni 0?
Tra wamekosa sana mapato ... Kweli inabidi wananchi wenyewe tuamke....bro usiitupe hio risiti ipeleke tra

Hiyo risiti ni halali kabisa
Mafuta hayalipiwi kodi, nenda vituo vyote Tanzania hutakuta imetozwa VAT
 
Hiyo risiti ni halali kabisa
Mafuta hayalipiwi kodi, nenda vituo vyote Tanzania hutakuta imetozwa VAT
Mafuta yana tax excemption?
Kwa nini.... Ila kiukweli mimi sijawahi kudai risit ya mafuta.
 
mafuta yana kodi nyingine sijui za ewura, imports and the like.. lakini mafuta hayana Value Added Tax (VAT), nendeni kwenye petrol station yoyote au waulizeni tax consultants wenu... hiyo risiti ni valid na wala haina shida. ukienda polisi utajisumbua tu.
 
Kaka huyo jamaa ana kesi ya kujibu na wewe lazima utapewa cha kwako cha juu sijui ni % ngapi...
Ila huyo jamaa inakuwaje VAT ni 0?
Tra wamekosa sana mapato ... Kweli inabidi wananchi wenyewe tuamke....bro usiitupe hio risiti ipeleke tra
Petroli haina vat Kama sukari na unga
 
Asanteni wakuu kwa kueleweshana...
Sasa kama hawalipi VAT kuna haja gani ya kuweka efd mashine kwenye vituo vya mafuta?
 
kuna uwezekano hizi mashine zipo nyingi sana , mana hatuna hulka ya kusoma description.
mashine za tra rahisi sana kuchokoroloa asee mi shapiga magumash hapa job wakidai risiti naleta ya kimagumash ya tra yenye vat kabisa na wananipa changu....

nimemsikia waziri jana aking'aka kwamba wameshawajua wanaozitingisha waache
hata mimi naacha nisije kutumbulia bureee
 
Back
Top Bottom