sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Habar ya jioni wanajamvi?
Kuna jambo nimeliona wakati nikiwa katika utendaji wang wa kila siku,nmegundua kuwa wale ambao walikuwa na vyeti vye shida yawezekana walikuwa watendaji wazuri wa serikali kulijo waio na vyeti, kwa ili nitatoa mfano mmoja tyuui.
Mfano wilay ya Ngudu Kwimba,kuna jamaa mmoja alikuwa injinia idara ya maji,huyu bwana nadhani alikuwa na elimu ya PHD,(SINA HAKIKA).
HUYU BWANA ALIKUMBWA NA KASUMBA HII YA VYETI HASA cheti cha form four,kwa kipindi chote cha uwepo wake maji yalianza kuw na historia kwa maN yalianza jupatikana vizur.
Sasa tangu atumbuliwe aise ni shida sanaa,kama hiyo haitoshi naisi ili ni tatzo idara nyingi za Umma .
Hiii inaashira kuwa kwa sasa wale njugu mawe walio kuwa wanatugerezea Darasan ndo wamebakia na sisi tumawaona watu wa maana kumbe ni Mapompo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jambo nimeliona wakati nikiwa katika utendaji wang wa kila siku,nmegundua kuwa wale ambao walikuwa na vyeti vye shida yawezekana walikuwa watendaji wazuri wa serikali kulijo waio na vyeti, kwa ili nitatoa mfano mmoja tyuui.
Mfano wilay ya Ngudu Kwimba,kuna jamaa mmoja alikuwa injinia idara ya maji,huyu bwana nadhani alikuwa na elimu ya PHD,(SINA HAKIKA).
HUYU BWANA ALIKUMBWA NA KASUMBA HII YA VYETI HASA cheti cha form four,kwa kipindi chote cha uwepo wake maji yalianza kuw na historia kwa maN yalianza jupatikana vizur.
Sasa tangu atumbuliwe aise ni shida sanaa,kama hiyo haitoshi naisi ili ni tatzo idara nyingi za Umma .
Hiii inaashira kuwa kwa sasa wale njugu mawe walio kuwa wanatugerezea Darasan ndo wamebakia na sisi tumawaona watu wa maana kumbe ni Mapompo tu
Sent using Jamii Forums mobile app