comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,952
Wanajamvi amani iwe kwenu.
Ninapenda kuwakilisha mada hiyo kwa sababu huu ni uhakiki wa watumishi wa umma/ serikali, maana ya umma ni wananchi, kwa kuwa watumishi wa umma pia ni wabunge basi ili haki itendeke uhakiki huo ufike huko kujiridhisha kuanzia form four, form six , vyuo na hadi vyuo vikuu
Ninapenda kuwakilisha mada hiyo kwa sababu huu ni uhakiki wa watumishi wa umma/ serikali, maana ya umma ni wananchi, kwa kuwa watumishi wa umma pia ni wabunge basi ili haki itendeke uhakiki huo ufike huko kujiridhisha kuanzia form four, form six , vyuo na hadi vyuo vikuu