A Al_maktum Member Joined Jul 26, 2020 Posts 31 Reaction score 25 Jul 11, 2021 Thread starter #21 euca said: Hv cheti kimoja ni kiasi gani kihakiki na cha kuzaliwa garama ni hyo hyo na kile cha kifo? Click to expand... Elf 3 Rita,elf 3 stationery,500 scanning
euca said: Hv cheti kimoja ni kiasi gani kihakiki na cha kuzaliwa garama ni hyo hyo na kile cha kifo? Click to expand... Elf 3 Rita,elf 3 stationery,500 scanning
Extrovert JF-Expert Member Joined Feb 29, 2016 Posts 72,402 Reaction score 191,522 Jul 11, 2021 #22 Niite Profesa said: RITA hawako serious na kazi Yaani tokea tar 18/06/2021 hadi leo 01/07/2021 hakuna chochote ukiwauliza wanachokisema hata hata hakiingii akilini. Click to expand... Haya majinga dawa yao alikuwa Magufuli tu now yame relax yanasubiri rushwa kama una haraka zako utoe rushwa!
Niite Profesa said: RITA hawako serious na kazi Yaani tokea tar 18/06/2021 hadi leo 01/07/2021 hakuna chochote ukiwauliza wanachokisema hata hata hakiingii akilini. Click to expand... Haya majinga dawa yao alikuwa Magufuli tu now yame relax yanasubiri rushwa kama una haraka zako utoe rushwa!
euca JF-Expert Member Joined Apr 6, 2015 Posts 3,943 Reaction score 4,383 Jul 23, 2021 #23 Wadau mwenya namba za Rita ,nahitaji kufaham cheti ambacho mimetuma kwao kwa ajili ya uhakiki Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau mwenya namba za Rita ,nahitaji kufaham cheti ambacho mimetuma kwao kwa ajili ya uhakiki Sent using Jamii Forums mobile app