Alloyce PR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 619
- 726
"Pale taasisi inapojengwa juu ya mtu mmoja badala ya misingi, huishi kama kivuli cha maisha ya huyo mtu. Na pale ukanjanja unapochukua nafasi ya utawala, taasisi hugeuka kuwa hadithi ya muda mfupi — si urithi wa vizazi." — Alloyce, P.R.