FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Nimeliwaza wazo hili kwa kina na kuona kuwa ikiwa ndege vita marubani hupona itokeapo ajali kwa kufyatuka na kiti basi ni possible ndege za abiria kuwa na mfumo huo ila wazingatie mwavuli uwe na uwezo wa kuelea katika maji.na pia wapitishe watumishi wa ndege codes maalumu kabla ya kufyatua ikiwa ndege IPO hatarini. Pia kila kiti kifungwe GPRS. Boeing lifanyieni kazi.