Mhhh....hapana kwa kwel...dawa ntaenda hosp...
Wasalaam wana mmu...
Bas wadau mi msichana akiwa mweupe loooh hoiii...hua nawaza kama uson au mikoni ni meupe kiac icho je panapofichwa!!!
Hii imeniathiri kiasi cha kunifanya niwe na list ya wadada weupee tuu ingawa i preffer natural si ya carolite...
Kwan we rang gan unakutoa pangon!..kwa ote me na ke
nimejikuta napata hisia gafla kujibu hii post...rangi sio big deal kabisa yaani ni zero minus creteria! uwe na ngozi nzuri yenye kung'aa flani halafu isiwe na mkogoro. na ndo maana kuna black biyuti nakadhalika. hujapata kitu black beuty kifunu tu paja pekaake utasahahu kama kuna weupe!
nimejikuta napata hisia gafla kujibu hii post...rangi sio big deal kabisa yaani ni zero minus creteria! uwe na ngozi nzuri yenye kung'aa flani halafu isiwe na mkogoro. na ndo maana kuna black biyuti nakadhalika. hujapata kitu black beuty kifunu tu paja pekaake utasahahu kama kuna weupe!
Loooh!
We mwanaume majanga kweli,ina maana mie na chocolate yangu hii,soft kabisa!!,pamoja na kunyimwa hata kipele kimoja usoni bado huridhiki?!
eh haya katafute hao mapapai.,.Vaislay wapi njoo usikie huku,eti sitakwi!!.
Nahisi angekuwepo wa blue ingekuwa poa sana maana huwa nikiona hiyo rangi dah inanimaliza mi hoiiiii....!
Na ubuyu unapenda mweupe au wa rangi?