Ugonjwa wangu ni weupee...

Ugonjwa wangu ni weupee...

nimejikuta napata hisia gafla kujibu hii post...rangi sio big deal kabisa yaani ni zero minus creteria! uwe na ngozi nzuri yenye kung'aa flani halafu isiwe na mkogoro. na ndo maana kuna black biyuti nakadhalika. hujapata kitu black beuty kifunu tu paja pekaake utasahahu kama kuna weupe!
 
Wasalaam wana mmu...
Bas wadau mi msichana akiwa mweupe loooh hoiii...hua nawaza kama uson au mikoni ni meupe kiac icho je panapofichwa!!!

Hii imeniathiri kiasi cha kunifanya niwe na list ya wadada weupee tuu ingawa i preffer natural si ya carolite...

Kwan we rang gan unakutoa pangon!..kwa ote me na ke

Loooh!
We mwanaume majanga kweli,ina maana mie na chocolate yangu hii,soft kabisa!!,pamoja na kunyimwa hata kipele kimoja usoni bado huridhiki?!

eh haya katafute hao mapapai.,.Vaislay wapi njoo usikie huku,eti sitakwi!!.
 
nimejikuta napata hisia gafla kujibu hii post...rangi sio big deal kabisa yaani ni zero minus creteria! uwe na ngozi nzuri yenye kung'aa flani halafu isiwe na mkogoro. na ndo maana kuna black biyuti nakadhalika. hujapata kitu black beuty kifunu tu paja pekaake utasahahu kama kuna weupe!

pokea like hapo mkuu..tena fasta fasta tutafutane nikupe hongera yako.
 
nimejikuta napata hisia gafla kujibu hii post...rangi sio big deal kabisa yaani ni zero minus creteria! uwe na ngozi nzuri yenye kung'aa flani halafu isiwe na mkogoro. na ndo maana kuna black biyuti nakadhalika. hujapata kitu black beuty kifunu tu paja pekaake utasahahu kama kuna weupe!

Hahah..utanfanya ni-test zali...ila kifup cjawah kabisaaa kukutana na ao ma-black ila ma-beauty....
 
ukienda muhimbili hospital watu mbalimbali wanamaradhi tofautitofauti. Km wewe huo ndo ugonjwa wako basi unastahili ukalazwe wodi ya mwaiseka
 
Loooh!
We mwanaume majanga kweli,ina maana mie na chocolate yangu hii,soft kabisa!!,pamoja na kunyimwa hata kipele kimoja usoni bado huridhiki?!

eh haya katafute hao mapapai.,.Vaislay wapi njoo usikie huku,eti sitakwi!!.

Ajaaaaa.....loooh m nkajua metumia id nyngne ile huijui...kumbe metumia ii..loooh

Lakn umekaribia kwa iyo sio mbaya...
 
Punguza porn coz ndo inayokufanya unavua watoto wa watu nguo na kuwagonga through assumptions
 
Punguza porn coz ndo inayokufanya unavua watoto wa watu nguo na kuwagonga through assumptions

Naomba nkuulize...We n mtu mzima mwenzang au bado unaandikia penseli...samahan lkn...
 
Back
Top Bottom