Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Me ninatatizo hilo tokea 2008

Kwa kweli ni changamoto sana hasa kwenye ushauri, kunamtu utamfuata Atakwambia tumia pilipili sana na rimao mwingine atakwambia achakabisa hivyo vitu
Wengine wanasema maziwa yanasaidia na wengine wanasema yaathiri zaidi
Wenye tatizo hili tunapata ushauri mwingi mmno tena huwa unakinzana kiasi kwamba huelewi kipi ni sahihi.
 
Mie dawa siijui ntashare nanyi nini sasa.. nilichosema ni kwamba aje nimpe mawasiliano nae, kwani akija pm ndio nitawafanya nini, kama ningehitaji kitu mimi ndio ningewafata huko pm kwanza..

Siwez kuweka namba hapa.. samahanini kwa hilo.
Sikukulenga wewe braza, kwani maelezo yako yalijitosheleza na hongera sana kwa hilo,

Ila kuna watu walimuita pm ukisoma comments utaona.
 
Mkuu Ni kama Nimeyasikia Maumivu Yako.Mimi Niliumw Kipindi Flani Nyuma..Mpaka Stage Ya Kutapika Damu.Nikatumia legalkick.Bado Mambo Yakawa Bado na Dozi Ilikuwa ndefu Nikawa nashidwa Kuimaliza..Ilikuwa ni Kama Mgojwa wa Kutumia Arvs..Nika achana Nazo Na Kuanza Kutumia Dawa za Kienyeji.

Sasa Fanya Hivi
.CHUKUA asali Ya Nyuki wadogo,Changanya Na Maziwa Fresh,Na parachichi,Na mayai Ya Kienyeji,Changanya Mchanganyiko kwa Pamoja.Kunywa Asubuhi,Mchana na Jioni.One week Utaona dalili Nzuri.
ILA kwa Maelezo Yako..stage Uliyofikia.Tumia Hii dawa Uku Ukitumia Dozi Ya hospital.Pole Sana Mkuu
 
Ninyi mnao muita inbox kwann msitoe hapa hiyo tiba ili na wengine wanufaike nayo??? huko inbox mnataka kuwafanya nini wenzenu.....
sio vizuri kama unajua kitu flani ukashare kwa wenzio hata baraka zinaongezeka.
Ukishaona msg ya njoo inbox jua tu huyo ni tapeli
 
Baada ya kuona pm nimefatwa na wtu kadhaa, nimejaribu kuonhea na dada, akanipa maelezo ya dawa.. nimeamua kushare nanyi hii msg niliyomtumia ndugu Mu7 maana waliokuja pm no wengi tofauti na matarajio, so msg niliyomjibu pm ndio nitaweka hapa.
 
Kwanza ndugu yangu yangu tumshukuru mwenyezi mungu kwa kila jambo, imani yangu inaniambia kila jambo Allah analotupa ni mtihani aidha tumshukuru ama tumkufuru, sasa mimi napenda tuwe wenye kumshukuru yeye, tusifeli mtihani wake..

Dada nimeongea nae kwa kirefu, kanieleza dawa yake na tumuombe mwenyezi mungu kupitia dawa hii upate afya.. labda nikueleze kisa kifupi, nabii mussa a.s alipata maradhi sikumbuki ni maradhi gani, tiba hakuwa akiijua, akamuomba mwenyezi mungu ampe dawa ya maradhi yake, mungu akamuelekeza dawa, akatumia na akapona, mungu akampa tena maradhi yale yale mussa akaenda kuchukua dawa ile akanywa na hakupona, akangeza dozi akatumia wee na hakupona akamlalamikia mola wake mbona haponi, mungu akamwambia dawa ni sababu tu ila akuponyeshae ni mimi, kwa maana ya mungu.. sisi tumeumbwa kisayansi na aliyetuumba ndio anajua zaidi.. hili ni somo refu kidogo


Sister kanieleza dawa hii.. asali na mdalasini.. nakupa maelezo ya lita moja

Matayarisho
Chukua asali yenyewe, asali halisi sio haya masukari ya mjini(asali fake) ikiwa ya nyuki wakubwa inapendeza zaidi.
Chukua magome ya mdalasini, ni vyema kupata magome maana unga wake wajanja wajanja huwa wanauchakachua na kusaga na magome mengine.
Katika lita moja ya asali tia vijiko 5 vya unga wa mdalasini.

Matumizi
Asubuhi nusu saa kabla hujala chochote changanya vijiko viwili vya dawa yako katik maji moto unywe
Mchana kabla ya kula meza vijiko viwili hapa si lazima uchanganye na maji, hapa ni vikavu
Na usiku ni hivyo hivyo kama mchana tu


Nyongeza: chai yako tumia mdalasini usitumie majani ya chai, usinywe maziwa na vyakula vyote ambavyo serikali walikukataza, epuka juice ya ukwaju na nyinginezo kama hizo.

Amesema yeye alitumia kwa muda upatao miezi mi3 hiv ndio akaanza kuona matokeo chanya..

Kila la kheri ndugu yangu, mwenyezi mungu atakufanyia wepesi katika hili, akupe afya njema inshaallah.
 
Niliupoteza huu Uzi

Kiboko ya Dawa zote hizi ni Juice ya Kabichi au Cabbage wazungu wanaiita.

•Cabbage/Kabichi
•Muwa au Apple
•Maji Safi

Saga mchanganyiko huu kwa Blender hadi upate Juice nzito nzito.

Kaza Moyo maana ladha yake Mhhh Kunywa Juice hii Glass kubwa 2 au 1 kutwa mara tatu. Alafu njoo tupe mrejesho.


Dawa nyingine nzuri pia ni Juice ya mboga za majani na matunda ( Detox )

•Mboga yoyote Ya Majani isiyokuwa na Acid
•Muwa
•Mtindi
•Maji Safi
•Apple

Saga huo Mchanganyiko kwenye blender kunywa utakavyoweza itakusaidia sana.


Katika zote hiyo ya Cabbage ni nzuri zaidi.

Angalizo: Usiweke Sukari hata kidogo. Uwepo wa Muwa na Apple ni kuleta hiyo ladha ya Utamu hata mtindi ni vizuri ukitumia ule wenye ladha za matunda.
 
Nakuja kwenu wanajamvi kuomba msaada wa mawazo nifanyeje niweze kuondokana na tatizo hili sugu na lililonitesa kwa miaka 22 sasa.

Tatizo hili liligunduliwa kwa mara ya kwanza mwaka 1995 hospitalini na nikaanza kutumia dawa na kufuata masharti mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuepuka aina fulani za vyakula na madawa na pia kubadili lifestyle.

Nikiri kuwa baada ya muda fulani baada ya kuanza matibabu nilipata nafuu kubwa hadi husahau maumivu ya tatizo hili lakini nilijitahidi kubaki katika masharti yale.

Baadaye tatizo lilianza upya na nikaanza kutumia dawa zile zile nilizotumia awali lakini sikupata nafuu. Nimebadilisha dawa mbalimbali lakini bado tatizo limeng'ang'ania. Baadhi ya dawa ninazokumbuka nilizotumia mpaka sasa ni: CIMETIDINE, RANITIDINE, OMEPRAZOLE, PANTOPRAZOLE, LANSOPRAZOLE na Antiacids za maji kama MILK OF MAGNESIA na RELCER GEL.

Nimewahi pia kutumia dawa za kienyeji kadhaa bila mafanikio. Mfano: Unga wa mbegu ya parachichi, mafuta ya ubuyu, asali mbichi na mdalasini, kuchemsha mmea wa mbigili n.k.

Nimeshawahi pia kupima H.PYLORI TEST mara 2. Mara moja nilikutwa Positive nikapewa HELIGO KIT dozi ya wiki 2 na nikaendelea na lansoprazole kwa wiki 2 zaidi. Nilipopima tena H.PYLORI ikasoma Negative lakini bado nikindelea kuumwa.

Mwaka jana nilifanyiwa kipimo cha OESOPHAGOGASTRODUODENOSCOPY hospitali moja ya rufaa na ripoti ya Daktari ilisomeka: "Multiple wounds found around the duodenum". Nilipewa dawa lakini bado sikuona nafuu kubwa.

Hivi leo nina siku ya 6 natumia TINIDAZOLE, LANSOPRAZOLE NA CLARITHRIMYCIN kwa pamoja na bado sijisikii nafuu yoyote. Maumivu ni makali, tumbo linauma na kutonesha (painful & tender), nikila chakula kidogo tu nasikia tumbo limejaa. Siwezi kulalia ubavu wa kulia tena sababu ya maumivu.

Usiku wa leo tumbo liliniuma sana mpaka jasho likanitoka japo kulikuwa na baridi.

Kwa ufupi nateseka jamani na nimekuja kwenu kama kuna mhanga kama mimi aliyewahi kuugua tatizo hili na kupona au madaktari mliomo humu jamvini mnisaidie jinsi ya kufanya.

Natanguliza shukurani nikiomba radhi pia kwa post ndefu. Nimelazimika kuandika hivi ili tatizo langu lieleweke vema.
ASANTENI!

Mwanajamvi mwenzenu anayeteseka.

Niliupoteza huu Uzi

Kiboko ya Dawa zote hizi ni Juice ya Kabichi au Cabbage wazungu wanaiita.

•Cabbage/Kabichi
•Muwa au Apple
•Maji Safi

Saga mchanganyiko huu kwa Blender hadi upate Juice nzito nzito.

Kaza Moyo maana ladha yake Mhhh Kunywa Juice hii Glass kubwa 2 au 1 kutwa mara tatu. Alafu njoo tupe mrejesho.


Dawa nyingine nzuri pia ni Juice ya mboga za majani na matunda ( Detox )

•Mboga yoyote Ya Majani isiyokuwa na Acid
•Muwa
•Mtindi
•Maji Safi
•Apple

Saga huo Mchanganyiko kwenye blender kunywa utakavyoweza itakusaidia sana.


Katika zote hiyo ya Cabbage ni nzuri zaidi.

Angalizo: Usiweke Sukari hata kidogo. Uwepo wa Muwa na Apple ni kuleta hiyo ladha ya Utamu hata mtindi ni vizuri ukitumia ule wenye ladha za matunda.
 
Niliupoteza huu Uzi

Kiboko ya Dawa zote hizi ni Juice ya Kabichi au Cabbage wazungu wanaiita.

•Cabbage/Kabichi
•Muwa au Apple
•Maji Safi

Saga mchanganyiko huu kwa Blender hadi upate Juice nzito nzito.

Kaza Moyo maana ladha yake Mhhh Kunywa Juice hii Glass kubwa 2 au 1 kutwa mara tatu. Alafu njoo tupe mrejesho.


Dawa nyingine nzuri pia ni Juice ya mboga za majani na matunda ( Detox )

•Mboga yoyote Ya Majani isiyokuwa na Acid
•Muwa
•Mtindi
•Maji Safi
•Apple

Saga huo Mchanganyiko kwenye blender kunywa utakavyoweza itakusaidia sana.


Katika zote hiyo ya Cabbage ni nzuri zaidi.

Angalizo: Usiweke Sukari hata kidogo. Uwepo wa Muwa na Apple ni kuleta hiyo ladha ya Utamu hata mtindi ni vizuri ukitumia ule wenye ladha za matunda.
Asante sana ndugu kwa mchango wako.
 
Muuone dokta kingu ifakara morogoro anakupa dawa moja local siku mbili tu Keisha hizo habari .Mimi hata pilau nilikuwa sili ila sasa hivi nakula hadi pilipili.
 
Aiseee sikutishi ila vidonda vyako vipo stage ya mwisho be careful sana,

Nakupa dawa tatu usidharau kabisa.

Moja, chukua bamia kata kata vipande weka kwenye blender na glass ya maziwa blend kisha kunywa asubuhi kabla hujala chochote na usiku nusu saa baada ya kula.

Najua itakupa shida kumeza ila pambana utanipa mrejesho.

Dawa ya pili, unga wa mbegu za mlonge,
Chukua kijiko kimoja cha unga huo weka kwenye maziwa au uji kunywa, unaweza kuharisha au kutapika au vyote, usijali jikaze endelea kutumia.

Dawa ya tatu ni maziwa mtindi,
ndio glass moja ya maziwa mtindi kila siku asubuhi mchana na jioni, utaleta mrejesho.

Achana na hizo dawa za hospital hakuna tiba bali zinapunguza makali halafu kumbuka unazidi kujaza chemical mwilini.

NB: Kama una kawaida ukisikia maumivu ya tumbo unakunywa maziwa fresh nakushauri acha mara moja, maziwa fresh huzidi kukwangua kwenye vidonda lakini mtindi wale bacteria wake ndio tiba yako.
Ushauri mzuri
 
Back
Top Bottom