Mfamaji Mganga
Member
- Aug 11, 2014
- 9
- 3
mzizi mkavu nakuunga mkono ni kweli kabisa mkojo ni dawa
jaman samahanin , kwa kuchanganya maada ... Mm pind nikiwa kwenye game na mwenzang naweza tumia ad dk ata 50 au lisaa lizima sijakojoa na ad nkija kukojoa bas mwenzang huwa atak tena kuendelea anakuwa kachoka sanaa asa mm naboreka na hii hal kilasku naishia kigol kimoja nifanyeje ikate... Nlikua napenda kulamba asal kilasku na kukimbia sana uwanjan kilasku lakn nimeacha vyote lakn hal bado yaendelea... Mwenzang anazanig namkomoa na cku nyngne anachukiga ad tunaishiaga kati bila mm kukojoa na huwa analalamikaga anaumiaga sana chn ya tumbo ... #MSAADA PLEASE#
wasiliana namimi upate kupona kabisa nakuyafurahia maisha kama wengine wacha kuwa na wasiwasiMkuu weka mambo hapa hadharani wengi ni waathiruka wa hili tatizo...
nipm Kama unavidonda vya tumbo nikupe dawaFunguka please
lyte ungejua ulcers nini usingeropoka Kama huumwi pita Kama wenginekama ni tangazo peleka huko.....
lyte ungejua ulcers nini usingeropoka Kama huumwi pita Kama wengine
sio utapeli hata mimi ameshtumia hiyo dawa nimepona nanilikua sili vyakula kibao sasa hivi nakula everything nanimepona kabisa namichukua kwaajili yakuwapatia wengine wenye kuangaika Kama mimi nilivyokuwa naangaika ni dawa yaukweli Jamani mnapona wenye ulcers msikubali kuteseka mwishowe uje kuwa na kansa ufe wakati dawa ipo na bei yake sio ghali na kupona mtu anapona sio sawa na makanjanja unatoa mamilioni na kupona huponiungeweka ha details watu wakajua, vinginevyo ni utapeli unataka kufanya....
mzizi mkavu nakuunga mkono ni kweli kabisa mkojo ni dawa