Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Kaka tafadhari naomba unisaidie ninateseka sana akili yangu haina uwezo wa kufikili sana
Kuna mtu anatibu aliwahi kunitibu mimi nashuhudia na baadhi ya ndugu zangu. Dawa ni inakuwa katika dozi mbili na bei yake ni laki 2 mpaka kupona. Utalipa kwa awamu mbili kila anapokutumia dawa au ukofuata. Au pengine inaweza ukalipia yote akakupatia kwa wakati mmoja lakini huwa anapendelea ulipie nusu uone matokeo na kisha uchukue awamu yabpili . Dawa unaweza kutumia kwa miezi miwili.

Yupo Ifakara vijijini unaweza kufuata mwenyewe au akakutumia. Uchaguzi ni wako.
 
Mungu na akupiganie upone kwa jina la Yesu!
 
huyu jamaa aliomba awe wa kwanza namtafta ili nimtumie dawa ila naona yuko kimya tu mpk sasa

So, nafas yake naigawa kwa mmoja alie serious kuhitaj tiba !

Thank you
Asante boss, nimepokea dawa imenifikia leo, nitaanza itumia Jumamosi (kwa sababu zangu mwenyewe kiofisi, japo ningependa kuanza leo, thereafter nitarudisha mrejesho hapa ndani ya siku 5 hali yangu iko vipi.

Shukran sana Bob laidoo alinitumia dawa kwa basi hadi Dar. Mimi gharama niliyoingia ni ya usafiri peke yake. Dawa kanisaidia bure.

Asante mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…