Bob Rhynoh
Member
- Nov 17, 2015
- 15
- 2
Habari za umu wakuu,
Tafadhar naombeni msaada,!
Kuna ugonjwa umeibuka yasemekana ni wa mlipuko, unatoka vipere vingi sehem mbalimabali za mwili mpaka sehemu za siri na vinawasha hasa, tena ukivikuna wasikia raha!
Nimejaribu dawa za hospital za kila namna, fungus, allergy, minyoo, za kupaka mpaka cndano lakin bila mafanikio!!! Kiukwel nateseka sana!
Nimepima STD lakin ni negative! Msaada ndugu zangu kwa anaejua dawa inayoweza nisaidia tafadhari! Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Tafadhar naombeni msaada,!
Kuna ugonjwa umeibuka yasemekana ni wa mlipuko, unatoka vipere vingi sehem mbalimabali za mwili mpaka sehemu za siri na vinawasha hasa, tena ukivikuna wasikia raha!
Nimejaribu dawa za hospital za kila namna, fungus, allergy, minyoo, za kupaka mpaka cndano lakin bila mafanikio!!! Kiukwel nateseka sana!
Nimepima STD lakin ni negative! Msaada ndugu zangu kwa anaejua dawa inayoweza nisaidia tafadhari! Natanguliza shukrani zangu za dhati.