Ugonjwa wa madonda koo (Tonsels)

Ugonjwa wa madonda koo (Tonsels)

pangakali 2

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
239
Reaction score
221
Nawasalim ktk jina la jamuhuri.

Binafsi nimekua na tatizo la kupatwa madonda ya kooni (tonsels) kwa muda mrefu sasa na hutokea pale ninapotumia vinywaji baridi wakati mwingine hunipelekesha hadi kupatwa homa.

Haijaishia kwangu, wanangu pia imekua changamoto sana wakinywa vitu vya baridi madonda koo huwapelekesha kiasi cha kupatwa homa Kali. Juhudi nilizo zifanya kwanza nimekua nikiwapeleka hospital mara kwa mara kwa tatzo moja.

Leo nimepata ushauri kutoka kwa daktari kwamba ni vyema wafanyiwe opereshen ili yaondelewe moja kwa moja.

Naomba kujua faida na hasara au kuna madhara gani huweza kuwapata mara baada ya hiyo opereshen na je inafaa kwa watu wazima pia na nini athari zake?

Mwenye uzoefu ushauri karibu.
 
Nawasalim ktk jina la jamuhuri.

Binafsi nimekua na tatizo la kupatwa madonda ya kooni (tonsels) kwa muda mrefu sasa na hutokea pale ninapotumia vinywaji baridi wakati mwingine hunipelekesha hadi kupatwa homa.

Haijaishia kwangu, wanangu pia imekua changamoto sana wakinywa vitu vya baridi madonda koo huwapelekesha kiasi cha kupatwa homa Kali. Juhudi nilizo zifanya kwanza nimekua nikiwapeleka hospital mara kwa mara kwa tatzo moja.

Leo nimepata ushauri kutoka kwa daktari kwamba ni vyema wafanyiwe opereshen ili yaondelewe moja kwa moja.

Naomba kujua faida na hasara au kuna madhara gani huweza kuwapata mara baada ya hiyo opereshen na je inafaa kwa watu wazima pia na nini athari zake?

Mwenye uzoefu ushauri karibu.
Nakushauri haraka Sana tekeleza ushauri wa daktari, Mimi kijana wangu amefanyiwa operesheni pale Kairuki hospital Sasa Yuko vizuri, kumbuka Katika siku 1-7 chakula chake Ni ice cream baridi sana, juice baridi Sana, uji baridi na mtori baridi na baada ya 14 days Yuko vema.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Dogo langu pia hili tatizo linamsumbua sana..ngoja tupate miongozo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nakushauri haraka Sana tekeleza ushauri wa daktari, Mimi kijana wangu amefanyiwa operesheni pale Kairuki hospital Sasa Yuko vizuri, kumbuka Katika siku 1-7 chakula chake Ni ice cream baridi sana, juice baridi Sana, uji baridi na mtori baridi na baada ya 14 days Yuko vema.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mtoto wa umri gani hasa ? Maana wa kwangu mmoja ana miaka 7 mwingine 3 na wote wanapitia changamoto ya aina moja
 
Kwann solution isiwe ni kujiepusha na vinywaji vya baridi? Maana nimewahi kuelezwa kwamba hizo tonsils ni muhimu katika kulinda koo dhidi ya maambukizi kooni.
Watoto ni kazi sana kuwa control katika hilo swala maana unajitahidi nyumban kumbana akifika shulen anakutana na watoto wenzie wanampa anatumia.
 
Hayo dawa yake ipo nayo ni kama masihara hivi likn ndo dawa yenyewe ambayo iko hivi mgonjwa anatakiwa achukue mkaa wa moto ambao haujazima anaudumbukiza kwenye kikombe cha maji alafu wakati ule mkaa ukilalamika kuzima mle yeye anakunywa yale maji wakati huo ule mkaa ukiendelea kuzima ni mara moja tu unapona na hayarudi tena
 
Hayo dawa yake ipo nayo ni kama masihara hivi likn ndo dawa yenyewe ambayo iko hivi mgonjwa anatakiwa achukue mkaa wa moto ambao haujazima anaudumbukiza kwenye kikombe cha maji alafu wakati ule mkaa ukilalamika kuzima mle yeye anakunywa yale maji wakati huo ule mkaa ukiendelea kuzima ni mara moja tu unapona na hayarudi tena
Ni wkati gani inafaa kufanya kipindi uko na tonses au hauna
 
Tonsillitis ni ugonjwa unaosababisha maumivu ya Koo haswa wakati wa kumeza , unapata maumivu wakati wa kumeza . Hii ni kutokana na kuvimba kwa tonsils zilizoko pande mbili mkabala wa Koo , kazi yake kubwa ni kulinda mwili na wadudu aina zote hasa bacteria , kuvimba ni Moja ya viashiria kuwa maambukizo Yako pale ni dhahiri mwili unajaribu kupigana na wadudu hao ikitokea imeshindwa kuwaangamiza hao wadudu zinazimba zaidi na kuhitaji msaada wa kuzidiwa kazi.

Kwa watoto au watu wazima chini ya umri wa miaka 25 ni Bora zikaondolewa kuondoa Ile kushindwa kazi mara kwa mara ? Kwa wale ambao ni zaidi ya umri wa miaka 25 inakuwa ni chronic inflammation ambayo hata ukitoa Haina msaada zinakuwa hazivimbi kabisa isipokuwa nerve sensitivity ndiyo inayo sababisha hiki kitu

Kwa sababu ni resavier ya maaskari wa mapigano mara nyingi wadudu pale wanawekea inactive na Kinga Sasa ukila vitu vya baridi vinasababusha vasoconstriction yaani msinyao wa mishipa ya damu hivyo Kinga hupungua kuzunguka pale hivyo wadudu waliowekwa inactive wanakuwa activated na kupungua kwa Kinga mahali pale na kusababisha madhara ya hao wadudu
 
Hayo dawa yake ipo nayo ni kama masihara hivi likn ndo dawa yenyewe ambayo iko hivi mgonjwa anatakiwa achukue mkaa wa moto ambao haujazima anaudumbukiza kwenye kikombe cha maji alafu wakati ule mkaa ukilalamika kuzima mle yeye anakunywa yale maji wakati huo ule mkaa ukiendelea kuzima ni mara moja tu unapona na hayarudi tena
Hii ndio tiba kabambe ya hizo tonsils big up mwandishi
 
Tonsillitis ni ugonjwa unaosababisha maumivu ya Koo haswa wakati wa kumeza , unapata maumivu wakati wa kumeza . Hii ni kutokana na kuvimba kwa tonsils zilizoko pande mbili mkabala wa Koo , kazi yake kubwa ni kulinda mwili na wadudu aina zote hasa bacteria , kuvimba ni Moja ya viashiria kuwa maambukizo Yako pale ni dhahiri mwili unajaribu kupigana na wadudu hao ikitokea imeshindwa kuwaangamiza hao wadudu zinazimba zaidi na kuhitaji msaada wa kuzidiwa kazi.

Kwa watoto au watu wazima chini ya umri wa miaka 25 ni Bora zikaondolewa kuondoa Ile kushindwa kazi mara kwa mara ? Kwa wale ambao ni zaidi ya umri wa miaka 25 inakuwa ni chronic inflammation ambayo hata ukitoa Haina msaada zinakuwa hazivimbi kabisa isipokuwa nerve sensitivity ndiyo inayo sababisha hiki kitu

Kwa sababu ni resavier ya maaskari wa mapigano mara nyingi wadudu pale wanawekea inactive na Kinga Sasa ukila vitu vya baridi vinasababusha vasoconstriction yaani msinyao wa mishipa ya damu hivyo Kinga hupungua kuzunguka pale hivyo wadudu waliowekwa inactive wanakuwa activated na kupungua kwa Kinga mahali pale na kusababisha madhara ya hao wadudu
Nashukuru sana mkuu kwa maelezo yakinifu. Kwa mm mwenye approx 34 haifai kuziondoa kwa opereshen? Maana nilitaka niungane na wanangu ili sote tuondokane na hizi changamoto
 
Nawasalim ktk jina la jamuhuri.

Binafsi nimekua na tatizo la kupatwa madonda ya kooni (tonsels) kwa muda mrefu sasa na hutokea pale ninapotumia vinywaji baridi wakati mwingine hunipelekesha hadi kupatwa homa.

Haijaishia kwangu, wanangu pia imekua changamoto sana wakinywa vitu vya baridi madonda koo huwapelekesha kiasi cha kupatwa homa Kali. Juhudi nilizo zifanya kwanza nimekua nikiwapeleka hospital mara kwa mara kwa tatzo moja.

Leo nimepata ushauri kutoka kwa daktari kwamba ni vyema wafanyiwe opereshen ili yaondelewe moja kwa moja.

Naomba kujua faida na hasara au kuna madhara gani huweza kuwapata mara baada ya hiyo opereshen na je inafaa kwa watu wazima pia na nini athari zake?

Mwenye uzoefu ushauri karibu.

Ni Tonsillitis sio tonsels

Sikushauri kuzitoa,kabla ya kujatibu kuzitibu na dawa!
Hizo tezi zina kazi maalum mwilini.wakati mwingine zinavimba sio kwasababu tu ya infections.lkn hata allergies inaweza kusababisha.pia kwa umri huo ni bora zikachunguzwa kwanza kuhakikisha sio kansa au magonjwa mengine kama TB
 
Ni Tonsillitis sio tonsels

Sikushauri kuzitoa,kabla ya kujatibu kuzitibu na dawa!
Hizo tezi zina kazi maalum mwilini.wakati mwingine zinavimba sio kwasababu tu ya infections.lkn hata allergies inaweza kusababisha.pia kwa umri huo ni bora zikachunguzwa kwanza kuhakikisha sio kansa au magonjwa mengine kama TB
Nimehangaika nazo sana kibaya zaidi dokta aliniambia kwa watoto zinaweza kupelekea ugonjwa wa moyo au kupoteza uwezo wa kusikia kwa mtoto wa kwanza alishaanza kuwa na tatizo la usikivu ndio maana nazid kuvurugwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom