Ugonjwa wa Kibofu cha Nyongo

Bon-CN

JF-Expert Member
Oct 14, 2020
1,338
2,753
Salaam Watalaam wa Tiba na wana-JF kwa ujumla.

Bila kuwapotezea muda, ningependa msaada wenu kuhusu ugonjwa wa Kibofu cha Nyongo ambao unamsumbua sana mama yangu. Baada ya kwenda hospitali, mara kadhaa amekuwa akiimbiwa hilo ndo tatizo linalosumbua lakini bado hajapata tiba inayoeleweka.

Kwa muhtasari huo hapo juu, ningependa kufahamu kwa yeyote miongoni mwa Wanajamii wa JF wenye uelewa wa huo ugonjwa, na matibabu yake. Natanguliza shukrani zangu kwenu.

NOTE: Baada ya kutafuta tafuta mitandaoni, nimeona huko duniani, mbali na operesheni, dawa nyingine inayotumika ni ile inayoitwa Ursodiol. Je, hizi dawa zipo Bongo?
 
Salaam Watalaam wa Tiba na wana-JF kwa ujumla.

Bila kuwapotezea muda, ningependa msaada wenu kuhusu ugonjwa wa Kibofu cha Nyongo ambao unamsumbua sana mama yangu. Baada ya kwenda hospitali, mara kadhaa amekuwa akiimbiwa hilo ndo tatizo linalosumbua lakini bado hajapata tiba inayoeleweka.

Kwa muhtasari huo hapo juu, ningependa kufahamu kwa yeyote miongoni mwa Wanajamii wa JF wenye uelewa wa huo ugonjwa, na matibabu yake. Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Pole ndugu,kuna jamaa yangu pia mama yake alisumbuliwa na huo ugonjwa alipiga trip zake pale MNH,lakini sijui kama alifanikiwa kitu
 
Pole ndugu,kuna jamaa yangu pia mama yake alisumbuliwa na huo ugonjwa alipiga trip zake pale MNH,lakini sijui kama alifanikiwa kitu
Ahsante ndugu, na mama yangu nae kapiga sana trip za MNH na Regency.
 
Ahsante ndugu, na mama yangu nae kapiga sana trip za MNH na Regency.
Nadhani bongo wataalamu hawapo,wanachofanya pale wanakupa apointment ya muda mrefu sana,yaani zile za njoo baada ya miezi miwili,halafu simple tuu,Sijuagi maana yake nini.yaani mtu unaumwa sana kitu mwilini,unaambiwa uende uje tarahe fulani daktari akucheki.
 
Nadhani bongo wataalamu hawapo,wanachofanya pale wanakupa apointment ya muda mrefu sana,yaani zile za njoo baada ya miezi miwili,halafu simple tuu,Sijuagi maana yake nini.yaani mtu unaumwa sana kitu mwilini,unaambiwa uende uje tarahe fulani daktari akucheki.
Na ndivyo inavyoonesha! Yaani wanaishia tu kusema "Kibofu cha Nyongo" lakini solution hawatoi.
 
Salaam Watalaam wa Tiba na wana-JF kwa ujumla.

Bila kuwapotezea muda, ningependa msaada wenu kuhusu ugonjwa wa Kibofu cha Nyongo ambao unamsumbua sana mama yangu. Baada ya kwenda hospitali, mara kadhaa amekuwa akiimbiwa hilo ndo tatizo linalosumbua lakini bado hajapata tiba inayoeleweka.

Kwa muhtasari huo hapo juu, ningependa kufahamu kwa yeyote miongoni mwa Wanajamii wa JF wenye uelewa wa huo ugonjwa, na matibabu yake. Natanguliza shukrani zangu kwenu.

NOTE: Baada ya kutafuta tafuta mitandaoni, nimeona huko duniani, mbali na operesheni, dawa nyingine inayotumika ni ile inayoitwa Ursodiol. Je, hizi dawa zipo Bongo?
MARADHI YA KIBOFU CHA NYONGO (GALLBLADDER)

ShowImage.jpg

MARADHI YA KIBOFU CHA NYONGO (GALLBLADDER)

The gallbladder organ is a small pear-shaped muscular sack that acts as a storage tank for bile. The bile is made in the liver by liver cells and is sent through tiny ducts or canals to the duodenum (small intestine) and to the gallbladder. The gallbladder stores the bile to have it available in larger quantities for secretion when a meal is eaten. The ingestion of food and especially fats cause the release of a hormone, cholecystokinin, which in turn signals the relaxation of the valve at the end of the common bile duct which lets the bile enter the small intestine. It also signals the contraction of the gallbladder which squirts the concentrated liquid bile into the small intestine where it helps with the emulsification or breakdown of fats in the meal.

Gallbladder attacks can be both very painful and frightening but there are many natural medicinal foods that can manage gallbladder disease to help prevent both surgery and the discomfort of gallbladder colic and to eliminate gallstones listed below.

Symptoms of gall bladder disorders

  • Bitter fluid comes up after eating (acid reflux).​
  • Bloating.​
  • Dizziness.​
  • Moderate to severe pain under the right side of the rib cage.​
  • Flatulence, burping or belching​
  • Diarrhoea (or alternating from soft to watery).​
  • Constipation.​
  • Stools light or chalky coloured.​
  • Fatty stools.​
  • Feeling of fullness or food not digesting.​
  • Headache over eyes, especially the right.​
  • Indigestion and heartburn after eating, especially fatty or greasy foods.​
  • Queasiness, nausea and vomiting.​
  • Severe upper abdominal pain (biliary colic).​
Pain between shoulder blades or may radiate through the back or to the right shoulder and may be worse with deep inhalation. Pain will often, but not always follow a meal with fats or grease. Attacks of pain are often at night or occur after overeating. They can last from 15 minutes to 15 hours.

Symptoms of a gallbladder attack are often caused by gallbladder stones. A stone may block the neck of the gallbladder or become lodged in a bile duct inhibiting the flow of bile or possibly causing a backing up of bile. However, short of causing an actual attack, stones may be present for years and never cause any symptoms at all.

Biliary pain can occur in about a third of the gallstone patients (which leaves two thirds not experiencing any pain) and sometimes the gallstone symptoms are difficult to differentiate from that of dyspepsia (indigestion). The gallstones can impair the functioning of the gallbladder, however, which can result in any of the common gallbladder symptoms. Gall bladder symptoms can look and feel the same with or without stones. Therefore, all of the symptoms listed on this page can also be the same for gallstones.


Possible causes of gall bladder disease

  • Alcohol abuse​
  • Anaemia​
  • Antidepressants (which slow down gallbladder contractions)​
  • Cholesterol lowering drugs​
  • Crohn's disease​
  • Chronic heartburn​
  • Constipation​
  • Diabetes​
  • Hypothyroidism​
  • Inflammatory bowel disease,​
  • High triglycerides, high LDL cholesterol, decreased HDL cholesterol​
  • Immunosuppressive drugs​
  • Insulin resistance​
  • Obesity and being overweight​
  • Thyroid disease​
  • Ulcerative colitis​
What to avoid with gall bladder disorders

  • Alcohol​
  • Bamboo shoots​
  • Butter and margarine​
  • Cabbage​
  • Cheese​
  • Chia seeds​
  • Coffee​
  • Excessive fats and oils​
  • Milk​
  • Peaches​
  • Prunes​
  • Nitrates​
  • Tobacco smoking​
NOTE: Nitrates are used to artificially give processed meats like bacon and sausage products a deep red colour. They have been proven to cause cancer of the pancreas so all processed meats should be avoided.
Mkuu nitafute kwa wakati wako nipate kumtibia mam yako ili aweze kupona maradhi yake auguwe pole mama yako.


 
Back
Top Bottom