mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,116
Wana if,
Ugonjwa huu unaenszwa na mb mpenda usafi, mbu huyu hakai sehemu yenye harufu mbaya, mbu huyu ana tabia kama za kipepeo uzalia kwenye maua ambayo yameechanua na kuacha nafasi ya kutuama maji. Mbu huyu uwezi kumkuta sehemu ambayo hakuna bustani. Mbu huyu uwezi kumkuta sehemu ambayo ndoo moja wanaoga watu wanne wala wakifagia Wanaacha mavumbi. Sasa kibao kimegeuka, wale Wa masaki, O,bay, mikocheni, kunduchi, nbweni na Bunju beach walikwepa sana kipindupindu kinachopatikana uswahilin sasa ushuani wao dengue tu. Kama kuna mtu anabiashi afuatilie wanaohupata wanatoka mazingira gani.
Ugonjwa huu unaenszwa na mb mpenda usafi, mbu huyu hakai sehemu yenye harufu mbaya, mbu huyu ana tabia kama za kipepeo uzalia kwenye maua ambayo yameechanua na kuacha nafasi ya kutuama maji. Mbu huyu uwezi kumkuta sehemu ambayo hakuna bustani. Mbu huyu uwezi kumkuta sehemu ambayo ndoo moja wanaoga watu wanne wala wakifagia Wanaacha mavumbi. Sasa kibao kimegeuka, wale Wa masaki, O,bay, mikocheni, kunduchi, nbweni na Bunju beach walikwepa sana kipindupindu kinachopatikana uswahilin sasa ushuani wao dengue tu. Kama kuna mtu anabiashi afuatilie wanaohupata wanatoka mazingira gani.