ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 327
Habarini humu..
Kwa ambao mshalima au wataalamu wa tikiti naomba ushauri huu ni ugonjwa gani na nini athari yake?
Nlidhani itakua chawa lakini mmea wote nimekagua hamna chawa. Pia kuna manyunyu yalipiga kidogo siku kama tatu kabla ugonjwa kuingia kwahio nimepiga Megasin, Ivory na Xantho..
Je tiba hii iko sahihi ama natakiwa kufata ushauri upi?
Asha [emoji6]
Kwa ambao mshalima au wataalamu wa tikiti naomba ushauri huu ni ugonjwa gani na nini athari yake?
Nlidhani itakua chawa lakini mmea wote nimekagua hamna chawa. Pia kuna manyunyu yalipiga kidogo siku kama tatu kabla ugonjwa kuingia kwahio nimepiga Megasin, Ivory na Xantho..
Je tiba hii iko sahihi ama natakiwa kufata ushauri upi?
Asha [emoji6]