Ugonjwa gani huu kwa ng'ombe?

Ugonjwa gani huu kwa ng'ombe?

CHIEF MGALULA

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2009
Posts
1,193
Reaction score
912
Hatua zipi za kuzingatia ukitaka kufuga kuku wa kienyejihabari wana bodi, nimekuwa mfugaji kwa siku za hivi karibuni, hata hivyo nimepata changamoto ya kifo kwa ng'ombe mmoja alionyesha dalili zifuatazo;

-alipoteza hamu ya kula
-kushindwa kutembea
-kukojoa damu

Hali hii nimeona kwa siku 2 tu akawa amepata madaktari, walinipa dawa tu lakini sijajua tatizo ni lipi maana kila mmoja ana lake analoniambia
 
Back
Top Bottom