Uganda, Kenya, Rwanda: Hatutarudi nyuma


Nilimsikiliza yule Mbunge wa EAC-Burundi, ni bi Hafsah Mossi, mtangazaji wa zamani wa BBC, anachangia na kutoa maelezo kwa umakini na ueledi wa hali ya juu. Anatumia kugha za hekima sana huyu!
 

Ni kweli, raia wa Burundi ni vichwa, ukimsikiliza Hafsah Mossi, utagundua ni jembe! Chukulia mtu kama Karenga Ramadhan, ni mwanasiasa lakini akichangia hoja utapenda. Karenga nae ameshafanyakaz BBC, kama sikosei na Deutsche Welle. Kuna kitu huwa sikielewi na huwa najiuliza kuhusu Burundi, kwamba hii imejiunga EAC majuzi lakini maneno ya kiswahili ni fasaha zaidi kwa Warundi kuliko Kenya(ukiondoa Mombasa) na Uganda( nadhani ukiondoa Miji jirani na Kagera)!
 

Well said, ila bora tu wajiengue maana hao watutsi (Mu7 na Kagame) wana mawazo machafu kwani wanajiona wao ndo wanaoweza kuongoza. See what has happened to Uganda na Rwanda! See what they are doing in DRC! Hao si watu wa kuwaamini hata chembe...let them go. But this should raise our eyes to see beyond the horizons....
 

Hii plan B ni nzuri. wasi wasi wangu ni je Burundi hakuna utusiutusi??? Manake wale hata 1 ni sawa na jeshi la wabongo elf 1!! Mseveni hana mkono Burundi?
 
​Hawa wanajulikana kama Bahima Empire family!
 
Hii plan B ni nzuri. wasi wasi wangu ni je Burundi hakuna utusiutusi??? Manake wale hata 1 ni sawa na jeshi la wabongo elf 1!! Mseveni hana mkono Burundi?
Kwa namna ambavyo Ubeligiji ilitumia ile falsafa ya divide and rule, ni kwamba Burundi ina wahutu wengi lakini Wabeligiji waliwafanya watusi watawala na huko Rwanda watusi ni wengi lakini wahutu walifanywa watawala!

Baada ya mapinduzi sasa wahutu wanatawala Burundi (Pierre Nkuruzinza) na watusi ni watawala Rwanda (Paul Kagame)!
 

Hii plan ni nzuri sana naunga mkono 100%. Tunaweza hata tukajiita the Great rift Valley region! Hii plan ikifanyiwa kazi hao Kenya Uganda na Rwanda wenyewe watakuja kutupigia magoti waombe kujiunga!
Ifanyiwe kazi. Big up mdai Ngongo kwa wazo hili.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Hii plan B ni nzuri. wasi wasi wangu ni je Burundi hakuna utusiutusi??? Manake wale hata 1 ni sawa na jeshi la wabongo elf 1!! Mseveni hana mkono Burundi?


Burundi kidogo ni tofauti kidogo na Rwanda na ndio maana wakati mgogoro kati ya Tanzania(JK) na Rwanda(PK) ukiwa juu Rais wa Burundi alikuja Tanzania kwa ajili ya mapumziko ya siku tatu. Warundi wanakumbuka vizuri kua raisi wao aliyechaguliwa kidemokrasia(Cyprian Ntaryamira) aliuwa kikatili kwa sababu ya tamaa za wanyarwanda(yasemekana M7 na PK walihusika). Katika hali kama hiyo Burundi kama burundi rafiki wao wa kweli ni Tanzania.
 

Nimependa sana analysis yako mkuu! Ni ya kisomi sana na inaonekana kukidhi majibu ya kweli kwa situation ya baadaye ya EAC. It is a very positive way of thinking! Congrats!
 

Ahsante Mkuu kwa kunijuza hilo.
 

Pamoja sana Mkuu. Sasa naweza unga mkono hoja the Great Lakes Federation...... Tanzania, Burundi na Congo
 


WE JAMAA KWELI NI NOUMERR..."YOU ARE A GREATEST THINKER"...nilikuwa sijafikiria jinsi mambo yanavyoweza kuwaharibikia hawa kina 3K'S na muungano wao....KWELI MUNGU AKIMPA MTU KAMPA TUUU...tanzania na uzembe, u-slow na kuto-kusoma kwetu na kuwa lazzy dogs BADO HAWA JAMAA WANALAZIMIKA KUJA KWETU KUPUNGUZA STRESS ZAO....nadhani ni muda muafaka wa "kuuza ushauri wa kisiasa" kwa hawa agressive neighbours wetu.

KAKA HONGERA UMENIFURAHISAHA SANAAA.
 
pamoja sana mkuu. Sasa naweza unga mkono hoja the great lakes federation...... Tanzania, burundi na congo

ili hilo liwe na litimie..inabidi "tuanze na kuitoa serikali ya watu sikivu na wasiotekeleza waliyosikia"...

Uongozi bora na imara huipeleka jamii kwenye malisho bora na yaliyostawi kama mchungaji wa kondoo awapelekavyo kondeni kwenye majani na maji ya kutosha....

Hawa viongozi wetu wa ccm na hasa nzee nkapa ndio wameturudisha huku kwa hawa wapuuzi...tayari kiongozi bora nyerere aligundua huku hakufai akatutoa huko...na kama sio jk kumuweka six..tayari na ardhi ingekuwa sehemu ya jumuiya na tayari bwana maendeleo angeshakuwa kawauzia kwenye "kilimo kwanza agenda".

tuendelee kupiga kelele labda warioba alisikie ataliweka kwenye katiba mpya....
 

hii analysis yako siyo kweli, population ya watusi haizidi asilimia 15 katika nchi za rwanda na burundi.wabelgiji kosa walilofanya ni kuwatumia watusi kama viranja au matarishi wakati wa uongozi wao kwa pande zote mbili!!!!!
 

Huu utakuwa mpango mbaya maana utaturithisha migogoro ya M23, Palipehutu, Banyamulenge nk. Tubakie tulivyo na Tanganyika yetu itatutosha sana. Anayetaka kujiunga nasi aje tuongee, tukishindwana abaki kwake. Hizi federations za uswahiba wa viongozi hazijawahi kufanikisha taifa lolote lile ulimwenguni. Kumbukeni hakuna urafiki wa kudumu.
 
hii analysis yako siyo kweli, population ya watusi haizidi asilimia 15 katika nchi za rwanda na burundi.wabelgiji kosa walilofanya ni kuwatumia watusi kama viranja au matarishi wakati wa uongozi wao kwa pande zote mbili!!!!!
Mwongo mkubwa weee!! Kama hujui uliza wakujuze!

Habyarimana alikuwa Mhutu na ndiye alikuwa rais wa Rwanda hadi alipouawa na majeshi ya Kagame, ingawa Kagame amekuwa akikanusha mara kwa mara kwa sababu ya kukosekana kwa mtu asiyeegemea upande wo wote kuthibitisha!!
 
Oooooooh am very tired with this music now....Mr Dj can u play my number or stop da music if u don't want..
 
True Integration is made based on faith and trust. its like Marriage. The collapse of former EAC was made by top leadership. Hawa nao wanapitia njia ile ile.

Mbio za sakafuni sometimes huishia ukingoni. Let us wait and see . . . .
 
Pamoja sana Mkuu. Sasa naweza unga mkono hoja the Great Lakes Federation...... Tanzania, Burundi na Congo

Isije ikawa ni umoja wa kuwakomoa wale kwa kutumia hasira. Kenya,Uganda na Rwanda hawana kosa kushirikiana. Na sio lazima tz wawemo. Watz tuache pompolila tuchape kazi tujenge taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…