Huyo jamaa akikamatwa apigwe adhabu kali sana. Lakini na huyu binti nae kwanini alimkubali kama anajijua anasoma?
Ukute hapo kala hela hela za jamaa wee then ndio anakuja kusema anasoma hataki kuolewa.
Na huyu jamaa bwege kweli unaanzaje kurubuniwa na mwanafunzi namna hiyo?