Tiger Woods angekuwa gay wala wasingemwandama hivi. Wazungu bwana kazi ipo.
Huyu jamaa sijui alikuwa anafikiria nini. Halafu watu wenye mawazo kama haya sijui kwa nini hata huwa wanachaguliwa!!!
Hawa wazungu kwa unafiki wao mpaka wanaboa!
Mbona hawaandamani tunapokuwa tunaumizwa na sera zao za kifashisti? Hivi huu unafiki utaisha lini? Bila aibu eti watakata misaada? so what? tumepoteza ndugu zetu wangapi kwa sera zao za kigaidi?!
Museven na Regime yake wameishiwa hoja za kuijenga na kuiendeleza Uganda sasa wanaanza kuweka sera na sheria za kuwagawa Waganda. Shame on them...
Adhabu ya Kifo au Kufingo cha maisha kwa sababu mtu umezaliwa Gay ni ujinga, udhalilishaji na kinyume na haki za binadamu.
Ni ukosefu mkubwa wa Elimu kuamini kuwa mwanamme mzima mwenye nguvu na akili zake anaweza akaamua tu kuwa Gay kwa kujitakia...mbaya zaidi ni ulimbukeni uliopitiliza kudhani kuwa sheria kali zitafanya watu wasiwe Gay.
This would be nice, it is probably a combination of genetics and environment, but to me whether it is genetic or not is immaterial.Kila mtu anaishi anavyotaka mwenyewe, kama hajakuingilia katika anga zako why should it matter?
Waacheni wawe gay, waoane and all, waonje joto la ndoa, wa divorce, labda watachoka na kurudi kuwa straight. lakini as long as mnafanya kuwa gay ni such an otherwordly phenomenon kuna watu wanataka kuwa kwenye counter culture tu, mainstream society ikiwa straight, wao wanataka kuwa gay.I bet mainstream society ikiamua kuwa gay yote kesho wao watataka kuwa straight.
Kuna mchizi mmoja anasema yeye anavuta bangi kwa sababu imekatazwa, na siku ikiruhusiwa tu anaacha, kwa sababu inapoteza value ya kuwa kitu kilichokatazwa.
Kama hupendi the gay lifestyle, the best way to fight it is to let it be and allow it to co-exist with mainstream society, utaona watu watakavyoona illicit appeal ya kuwa gay itakavyoondoka.