Ufunuo Kwa Jamii

Ufunuo Kwa Jamii

Smartkahn

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2020
Posts
877
Reaction score
1,472
Katika maono haya niliona vinyonga wawili wa rangi ya kijani mmoja mkubwa na mwingine mdogo.

Walikua wanasogeleana na kuanza kupigana taratibu taratibu kama kawaida yao.

Gafra akatokea nyoka wa rangi ya... kitu kama njano au kijani hivi akawagongo(ng'ata) wale vinyonga, kutokana na sumu ya yule nyoka, wote wakaanguka chini na kuishiwa nguvu kabisa.

Yule nyoka akiwa, kando yao akaanza kugeuka rangi ubavuni mwake mithili ya kinyonga, na kuanza kufanana kama wale vinyonga.

Wale vinyoka wakiwa wametepeta pale chini yule nyoka akaanza kuwinda panya... Alimkimbiza panya mmoja wa rangi nyeusi kwa hasira ya hali ya juu na yule panya akapotelea kichakani.

#Pia tarehe 28-10-2025, niliona Raisi akiwa katika nyumba flani hivi mazingira yake ya kawaida,

Alitoa maagizo kwa dobi wake kwamba amfulie nguo zake yule dobi alikua mtiifu lakini yule dobi alipotoka na kuingia uwani ndani ya fensi alishuhudia mlinzi wa nyumba ile akiwa amejaa dharau, jeuri, kiburi na kupuuzia maagizo kutoka kwa raisi, kiasi kwamba siku hiyo aligoma kumsaidia dobi kuteka maji katika kisima.
 
Katika maono haya niliona vinyonga wawili wa rangi ya kijani mmoja mkubwa na mwingine mdogo.

Walikua wanasogeleana na kuanza kupigana taratibu taratibu kama kawaida yao.

Gafra akatokea nyoka wa rangi ya... kitu kama njano au kijani hivi akawagongo(ng'ata) wale vinyonga, kutokana na sumu ya yule nyoka, wote wakaanguka chini na kuishiwa nguvu kabisa.

Yule nyoka akiwa, kando yao akaanza kugeuka rangi ubavuni mwake mithili ya kinyonga, na kuanza kufanana kama wale vinyonga.

Wale vinyoka wakiwa wametepeta pale chini yule nyoka akaanza kuwinda panya... Alimkimbiza panya mmoja wa rangi nyeusi kwa hasira ya hali ya juu na yule panya akapotelea kichakani.

#Pia tarehe 28-10-2025, niliona Raisi akiwa katika nyumba flani hivi mazingira yake ya kawaida,

Alitoa maagizo kwa dobi wake kwamba amfulie nguo zake yule dobi alikua mtiifu lakini alipotoka uwani ndani ya fensi alishuhudia mlinzi wa nyumba ile akiwa amejaa dharau, jeuri, kiburi na kupuuzia maagizo kutoka kwa raisi, kiasi kwamba siku hiyo aligoma kumsaidia dobi kuteka maji katika kisima.
20251023_065859.jpg
 
Katika maono haya niliona vinyonga wawili wa rangi ya kijani mmoja mkubwa na mwingine mdogo.

Walikua wanasogeleana na kuanza kupigana taratibu taratibu kama kawaida yao.

Gafra akatokea nyoka wa rangi ya... kitu kama njano au kijani hivi akawagongo(ng'ata) wale vinyonga, kutokana na sumu ya yule nyoka, wote wakaanguka chini na kuishiwa nguvu kabisa.

Yule nyoka akiwa, kando yao akaanza kugeuka rangi ubavuni mwake mithili ya kinyonga, na kuanza kufanana kama wale vinyonga.

Wale vinyoka wakiwa wametepeta pale chini yule nyoka akaanza kuwinda panya... Alimkimbiza panya mmoja wa rangi nyeusi kwa hasira ya hali ya juu na yule panya akapotelea kichakani.

#Pia tarehe 28-10-2025, niliona Raisi akiwa katika nyumba flani hivi mazingira yake ya kawaida,

Alitoa maagizo kwa dobi wake kwamba amfulie nguo zake yule dobi alikua mtiifu lakini yule dobi alipotoka na kuingia uwani ndani ya fensi alishuhudia mlinzi wa nyumba ile akiwa amejaa dharau, jeuri, kiburi na kupuuzia maagizo kutoka kwa raisi, kiasi kwamba siku hiyo aligoma kumsaidia dobi kuteka maji katika kisima.
Tuondosheee taka hapa tushachoka na watu wenye changamoto ya afya ya akili
 
MKUU,MIMI
Katika maono haya niliona vinyonga wawili wa rangi ya kijani mmoja mkubwa na mwingine mdogo.

Walikua wanasogeleana na kuanza kupigana taratibu taratibu kama kawaida yao.

Gafra akatokea nyoka wa rangi ya... kitu kama njano au kijani hivi akawagongo(ng'ata) wale vinyonga, kutokana na sumu ya yule nyoka, wote wakaanguka chini na kuishiwa nguvu kabisa.

Yule nyoka akiwa, kando yao akaanza kugeuka rangi ubavuni mwake mithili ya kinyonga, na kuanza kufanana kama wale vinyonga.

Wale vinyoka wakiwa wametepeta pale chini yule nyoka akaanza kuwinda panya... Alimkimbiza panya mmoja wa rangi nyeusi kwa hasira ya hali ya juu na yule panya akapotelea kichakani.

#Pia tarehe 28-10-2025, niliona Raisi akiwa katika nyumba flani hivi mazingira yake ya kawaida,

Alitoa maagizo kwa dobi wake kwamba amfulie nguo zake yule dobi alikua mtiifu lakini yule dobi alipotoka na kuingia uwani ndani ya fensi alishuhudia mlinzi wa nyumba ile akiwa amejaa dharau, jeuri, kiburi na kupuuzia maagizo kutoka kwa raisi, kiasi kwamba siku hiyo aligoma kumsaidia dobi kuteka maji katika kisima.
MKUU,NISAIDIE SIJAELEWA
 
Mkuu hiyo ya vinyonga na nyoka hata mimi sijaelewa... Ila tukio likidhihirika/likitokea katika ulimwengu huu, ndio unaweza ukahusianisha na ika-make sense.

Ila hii ya Raisi... inawezekana huko mbeleni akakosa ushawishi na uungwaji mkono na vyombo vya ulinzi na hili watashuhudia wasaidizi wake wakiwa wanatekeleza maagizo yake, pasipo yeye kujua kua idara flani hawamkubali na hawaonyeshi ushirikiano kwa wasaidizi wake.

Angalizo mkuu usichukulie maanani sana kwakua hizi ni ndoto tu.
MKUU,MIMI

MKUU,NISAIDIE SIJAELEWA
 
Mkuu hiyo ya vinyonga na nyoka hata mimi sijaelewa... Ila tukio likidhihirika/likitokea katika ulimwengu huu, ndio unaweza ukahusianisha na ika-make sense.

Ila hii ya Raisi... inawezekana huko mbeleni akakosa ushawishi na uungwaji mkono na vyombo vya ulinzi na hili watashuhudia wasaidizi wake wakiwa wanatekeleza maagizo yake, pasipo yeye kujua kua idara flani hawamkubali na hawaonyeshi ushirikiano kwa wasaidizi wake.

Angalizo mkuu usichukulie maanani sana kwakua hizi ni ndoto tu.
HAPANA MKUU,MAMBO YAKO HUWA NAFANYIA KAZI SANA.

ULIMUOTA POLEPOLE,NA ILITOKEA VILEVILE
 
HAPANA MKUU,MAMBO YAKO HUWA NAFANYIA KAZI SANA.

ULIMUOTA POLEPOLE,NA ILITOKEA VILEVILE
Katika kutafakali huu ufunuo nimewaza kua,
Katika maono haya niliona vinyonga wawili wa rangi ya kijani mmoja mkubwa na mwingine mdogo.

Walikua wanasogeleana na kuanza kupigana taratibu taratibu kama kawaida yao.
Hao vinyonga wawili wa rangi moja ya kijani, na wanapigana taaratibu.

Hayo ni makundi mawili kubwa na dogo yaliyopasuka kutoka taasisi/chama kimoja, na wanapambana wao kwa wao, pia kuipambania nchi kwa kasi ndogo sana huku wakioneana huruma.

Gafra akatokea nyoka wa rangi ya... kitu kama njano au kijani hivi akawagongo(ng'ata) wale vinyonga, kutokana na sumu ya yule nyoka, wote wakaanguka chini na kuishiwa nguvu kabisa.
Hapa itatokea taasisi au chama kingine pengine sio cha nchini humu au cha ndani ya nchi kwahiyo shughuli zake ni ndani ya nchi ila chimbuko lake/msingi ni nje ya nchi(puppet(nyoka hana miguu))

Hii taasisi au chama kitaidhoofisha sana hayo makundi mawili ya chama/taasisi na yataishiwa nguvu kabisa.

Yule nyoka akiwa, kando yao akaanza kugeuka rangi ubavuni mwake mithili ya kinyonga, na kuanza kufanana kama wale vinyonga.
Jinsi nilivyomuona huyu nyoka alikua ananguvu na aggressive kiasi... Hivyo ni taasisi au chama chenye nguvu na kasi ya ajabu.

Na pia kwakua wale vinyonga hawakugeuka rangi na walikua taabani pale chini inamaana kile chama kiliendelea kua vile vile kwa kuishi kimazoea...

Basi ujio wa chama/taasisi hiyo mara baada ya kuidhoofisha hicho chama(vinyonga), kitakua na nguvu mpya na kasi huku kikiaza kufanana na kile chama kilichodhoofu, katika muundo au appearance

Wale vinyoka wakiwa wametepeta pale chini yule nyoka akaanza kuwinda panya... Alimkimbiza panya mmoja wa rangi nyeusi kwa hasira ya hali ya juu na yule panya akapotelea kichakani.
Hiyo taasisi itaanza kufanya kazi kwa hali mpya na kasi kubwa.

Sasa huyu panya mweusi anaweza akawa adui aliekua ktk utawala kukimbizwa ama fursa(riziki) zinachangamkiwa kwa kasi ya nyoka na sio kinyonga kama hapo kabla.

Haya ni mawazo yangu tu jambo litakapo dhihilika tutapata mwangaza zaidi kama nimepatia au lah.
 
Naishia kusoma tu, sipo jikoni, chumbani, ukumbi, wala uani sijui chochote mimi wa mitaani.
Je huu ufunuo wako ili uwe dhahiri itachukua miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom