Slim Mchuma
Member
- Aug 19, 2016
- 83
- 51
Nimepitia post nyingi za kilimo na ufugaji na wengi wao katika ufugaji wamejikita katika ufugaji wa ndege aina ya kuku, bata, bata mzinga, na wadudu wengne kama nyuki
Nataka kufaham kuhusiana na ufugaji wa njiwa na masoko kwa ujumla
Nataka kufaham kuhusiana na ufugaji wa njiwa na masoko kwa ujumla