jamani wana jf mbona hamnipi jibu kuhusiana na post yangu niliyo waomba kuhusiana na mradi wa kuku?bado nipo dilema,kimsingi nilitaka kujua kuku wa wiki 10 wanapatikana wapi na kwa shilingi ngapi,naombeni msaada wenu.
ni kweli kwamba kukuhao unaweza kuwapata lakini tatizo ni mazingira utayowatoa nautapowafugia yatakua yakilingana ki haliya hewa? je chakula utachowalisha ndicho kile walichokua wakila kule walipokuwepo? kama maqjibu ni ndio nitafute kwa mawasiliano yafuatayo! 0753068644 au 0716298386 au nourdeenmgisa@yahoo.com au facebook name nourdeen! mudamwingi nakua shamba hivyo simu yangu kupatikana ni marachache! nitakusaidia hata kwa ushauri pia. Good day
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.