Ufugaji batamzinga

Ufugaji batamzinga

kwalele

Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
36
Reaction score
15
Habari zenu wana JF
Nimejaribu kufuatulia kwa ukaribu ufugaji wa bata mzinga na nikafanikiwa kupata maelekezo namna ya kuwafuga na kuandaa mazingira ya kuwafuguia yaani ujenzi bora wa mabanda,kwa sasa nishaandaa mabanda ila sijajua wapi naweza kuwapata batamzinga wa kuanzia anayejua napoweza kuwapata wa kununua kwa kufuga tujulishane
 
Habari zenu wana JF
Nimejaribu kufuatulia kwa ukaribu ufugaji wa bata mzinga na nikafanikiwa kupata maelekezo namna ya kuwafuga na kuandaa mazingira ya kuwafuguia yaani ujenzi bora wa mabanda,kwa sasa nishaandaa mabanda ila sijajua wapi naweza kuwapata batamzinga wa kuanzia anayejua napoweza kuwapata wa kununua kwa kufuga tujulishane
Kama uko kanda ya ziwa tuwasiliane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom