Ufugaii Nguruwe vs ufugaji Kuku

Reproduction inakuaje hadi jinsia inapatikana?!!; kwakuwa wewe ni msomi basi unaweza kunifundisha.
Meiosis.

 
Itategemeanaa na aina gan ya ufugaji unahitaji kufanya na aina gan ya ngurue au kuku unahitaji kufuga maana wote wanatofautiana, pia Ni unamtaji wa kiasi gan kufanya ufugaj huo, ngurue zipo very simple kwenye suala la ufugaji kwa mtazamo japo ukiingia katika industry hiyo ndo utaona Ni gharama kiasi gan inakukost, japo Hua hazipat magonjwa mara kwa mara kama kuku , pia kuku Nao itategemeanaa na ufugaji wako utakua na ukubwa kiasi gan ila kama ukidhamilia vyote vipo sawa
 
Mtoa mada fuga nguruwe, wanakula kila kitu Hadi charger mbovu za kuchajia simu, simu mbovu na betri chakavu. Huwezi kuhangaika misosi. Utakuja kunishukuru.
Hahahaha
 
Fuga vyote--kwani kinyesi cha nguruwe huweza kutumika kama suplement ya chakula cha kuku--kivipi?---baada ya kusafisha banda la kitimoto---weka uchafu na uache uoze katika sehemu tofauti tofauti--baada ya fermentation process--wadudu hutokea na ni chanzo kizuri kabisa cha protein kwa kuku...vice versa pia ni sawa---kwa tabia za ulaji wa kuku--ni ngumu sana wakala chakula chote kwa asilimia 100...hivyo mabaki ya pumba---au ukichekecha maranda utapata pumba kidogo unayoweza kuichanganya na chakula kingine ukawapa nguruwe.
Kwa ubora zaidi unashauriwa kuwa na migomba---kwani ndio sehemu bora ya kuhifadhia kinyesi cha nguruwe---na kuku watakuja kuparua hapo wakati mmea ukijipatia rutuba---majani na mabaki mengine yote ya mgomba atalishiwa nguruwe---kwa hiyo kutakuwa na mzunguko mzuri tu wa nutrients hapo shambani kwako.
 
Vifaranga lazima wapatiwe starter walau kwa mwezi mmoja,na kwa kila vifaranga 100 chotara watakuhitaji 50kg ya starter kwa mwezi,na baada ya mwezi kuisha sasa unatakiwa kianza kuwachanganyia mwenyewe ili kuokoa gharama.
Ni vizuri kuku wa kienyeji/chotara wakafugiwa shambani kwani utawaachia nje hivyo gharama za chakula zitapungua
Starter inauzwaje
 
Hajui hata samaki ni haramu kwa wamasai au ng'ombe ni haramu kwa wa Hindu? Watu waendelee tu kukomaa na tamaduni za watu
Samaki ama wamasai wanamuita singiri siku hizi wamasai wanawapika tena wanawaunga kwa nazi kabisa.
Zamani wamasai walikua wanafuga kuku hasa mama yeyoo kwaajiri ya biashara ila siku hizi wamasai wanakaanga na mayai kabisa.
Hivyo usishangae kuwaona wavaa kanzu wakila kitimoto kwani zama zimebadilika
 
Kweli uko serious mkuu,
Nilifuatilia wiki hii nimevunjwa moyo inaonekana jamaa amewauza anadai nisubiri wapo wengine wanye mimba,wapo wengine ambao nataka nikawaone,japo sijawapenda kwakua wazazi wao ni aina moja ie baba kambo na mama kambo.
Mbegu nzuri inapendeza ikichanganywa na durock kwani durock anakua haraka sana na ananyama nyingi.
Nitakapowaona kama watakuwa wazuri nitakujulisha.
Hao Durock unawajuaje kiongozi??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom