UFISADI WA WABUNGE HECHE, MATIKO NA MWENYEKITI NYANSWI TARIME.
Public procurement act ya mwaka 2004 na marekebisho yake ya mwaka 2011 imetaja vizuri sana nafasi ya madiwani wa halmashauri katika mchakato wa Zabuni za halmashauri...
Sheria imetamka.., Kuweka mfumo katika Kanuni za Sheria ya Ununuzi wa Umma za Serikali za Mitaa utakaowezesha Madiwani kusimamia masuala ya ununuzi katika Halmashauri kupitia Kamati ya Fedha na Mipango ili kudhibiti wizi wa fedha za umma katika halmashauri...
Hivyo madiwani ni sehemu ya kamati ya fedha na mipango.., siyo wenye kuhusika na ugawanaji wa rasilimali na miradi ya halmashauri....
Katika hali inayoonyrsha ni kwa jinsi gani wabunge na mwenyekiti wa Halmashauri wasivyojali maslahi ya wananchi wa tarime, wamegawana vibanda vya biashara katika mji wa tarime, Mh Ester Matiko aliwapa wananchi tv ya tsh 200000/ Lakini amejichukulia vibanda 50 vya biashara.
Mh Heche amejichukulia vibanda 30 na kuwagawia ndugu zake ambao hawapo Mjini tarime na hawajui hata taratibu za kupata vibanda ulivyokuwa ila tayari wana vibanda.
Ni vipi Mwananchi wa kawaida anaweza kushinda zabuni yake akiwa anapambana na diwani au mtu kutoka halmashauri!!??
Kamati ya ugawaji wa vibanda hivyo ilikuwa na wafuatao.
Mama Tekla.
Zakayo wangwe na
Kasuku
Madiwani wamegawa vibanda kwa marafiki zao.. Kwa ndugu zao na jamaa zao..
Wananchi wa kawaida hawajapewa nafasi hiyo... Majina yaliyopo ni majina ya watu mashuhuri Tarime, majina ya watu wa kawaida, wa hali ya chini hawapo..
Watu wenye fedha na ndugu wenye madiwanindiyo wamenufaika na mradi huu, mfano Bob Chacha wangwe amepata ila hajui hali kadhalika utaratibu ulikuwa vipi ila kwa sababu Zakayo wangwe ndiye mwenyekiti wa kugawa akatumia nafasi hiyo kupata kibanda.
Kulikuwa na kujaza fomu na kwenda kulipia bank na kupeleka slip halmashauri ya mji na pia kupeleka nakala ya kitambulisho. Lakini waliopata hawakujua hata utaratibu huo ila kwa sasa ni wanufaika.
Salamu zetu kama wana Tarime ni kuwa hatutakubari kushika UKUTA wakati fursa za kunufaika na rasilimali za halmshauri wanagawana wenye nafasi zao
Public procurement act ya mwaka 2004 na marekebisho yake ya mwaka 2011 imetaja vizuri sana nafasi ya madiwani wa halmashauri katika mchakato wa Zabuni za halmashauri...
Sheria imetamka.., Kuweka mfumo katika Kanuni za Sheria ya Ununuzi wa Umma za Serikali za Mitaa utakaowezesha Madiwani kusimamia masuala ya ununuzi katika Halmashauri kupitia Kamati ya Fedha na Mipango ili kudhibiti wizi wa fedha za umma katika halmashauri...
Hivyo madiwani ni sehemu ya kamati ya fedha na mipango.., siyo wenye kuhusika na ugawanaji wa rasilimali na miradi ya halmashauri....
Katika hali inayoonyrsha ni kwa jinsi gani wabunge na mwenyekiti wa Halmashauri wasivyojali maslahi ya wananchi wa tarime, wamegawana vibanda vya biashara katika mji wa tarime, Mh Ester Matiko aliwapa wananchi tv ya tsh 200000/ Lakini amejichukulia vibanda 50 vya biashara.
Mh Heche amejichukulia vibanda 30 na kuwagawia ndugu zake ambao hawapo Mjini tarime na hawajui hata taratibu za kupata vibanda ulivyokuwa ila tayari wana vibanda.
Ni vipi Mwananchi wa kawaida anaweza kushinda zabuni yake akiwa anapambana na diwani au mtu kutoka halmashauri!!??
Kamati ya ugawaji wa vibanda hivyo ilikuwa na wafuatao.
Mama Tekla.
Zakayo wangwe na
Kasuku
Madiwani wamegawa vibanda kwa marafiki zao.. Kwa ndugu zao na jamaa zao..
Wananchi wa kawaida hawajapewa nafasi hiyo... Majina yaliyopo ni majina ya watu mashuhuri Tarime, majina ya watu wa kawaida, wa hali ya chini hawapo..
Watu wenye fedha na ndugu wenye madiwanindiyo wamenufaika na mradi huu, mfano Bob Chacha wangwe amepata ila hajui hali kadhalika utaratibu ulikuwa vipi ila kwa sababu Zakayo wangwe ndiye mwenyekiti wa kugawa akatumia nafasi hiyo kupata kibanda.
Kulikuwa na kujaza fomu na kwenda kulipia bank na kupeleka slip halmashauri ya mji na pia kupeleka nakala ya kitambulisho. Lakini waliopata hawakujua hata utaratibu huo ila kwa sasa ni wanufaika.
Salamu zetu kama wana Tarime ni kuwa hatutakubari kushika UKUTA wakati fursa za kunufaika na rasilimali za halmshauri wanagawana wenye nafasi zao