LuCKNOVICH
Senior Member
- Jan 22, 2011
- 104
- 11
Inakuwaje unapangishiwa nyumba but choo is not included?.hii ndio wanafanyiwa wapangaji wa jengo la ccm mkoa Kilimanjaro,pamoja na kulalamika wametishiwa kufukuzwa ndani ya jengo.Je hu ni uungwana.kama jengo hilo limejengwa na wananchi wote kwa kukatwa kodi bila kujali upenzi wa wa chama au itikadi.Je Mama Swai au JK unayajua hayo?