MUNDALI WA ILEJE
Member
- Sep 27, 2012
- 32
- 9
Kufuatia kuwepo kwa mwenyekiti wa halmashauri ya Ileje aliye kosa elimu kwa kuishia daasa la nne na kujaliwa kuongea, amejikuta akizidiwa kete na wakuu wa idara ndani ya halmashauri na kuburuzwa baada ya kushindwa kuzitolea maeLezo pesa za msaada zilizo tolewa kwa ajiri ya ujenzi wa kituo cha watoto yatima.
Sh mil 130 walizo kuwa wamepewa UAJA na kuzitafuna zote bila kujenga kitu chochote,halmashauri ilipo wafuatilia ilirudishiwa sh mil 9 na bila kuzungumza chochote je mwenyekiti kazi yake ni nini wana CCM?. Kutokana na utendaji mbovu wa meya huyo kumesababisha upotevu wa pesa nyingi za TASAFU kwa ufisadi wa watumishi.
Hata hivyo mpaka leo vijiji 19 havina wenyeviti na hatujui ni lini uchaguzi utafanyika.
Sh mil 130 walizo kuwa wamepewa UAJA na kuzitafuna zote bila kujenga kitu chochote,halmashauri ilipo wafuatilia ilirudishiwa sh mil 9 na bila kuzungumza chochote je mwenyekiti kazi yake ni nini wana CCM?. Kutokana na utendaji mbovu wa meya huyo kumesababisha upotevu wa pesa nyingi za TASAFU kwa ufisadi wa watumishi.
Hata hivyo mpaka leo vijiji 19 havina wenyeviti na hatujui ni lini uchaguzi utafanyika.