Ufisadi mpya kutikisa Bunge

Ufisadi mpya kutikisa Bunge

Jengo wanasema bilioni 12 gharama halisi bilion 3 hizi 9 zimekwenda wapi jaman?barabara ngapi za mtaani zingejengwa hapa?Kwa nn nyie masisiem mnatuibia hivi jaman?Nina hasira jamani hata ya kujilipua kwa kweli.
Dr. Harrison Mwakyembe atakuwa anajua hizo 9b zimeenda wapi, si alikuwa waziri hapo.
 
Watasema "Mengi amewatuma PAC kulipua ufisadi mwingine maana anaitaka nyumba ya bodi ya mikopo na jengo la VIP"!!

Ngoja waje....

Asante kwa kutujuza. Hope utakuwa "mwenyewe" (kama sio vijana wake).
Hilo nalo umetufumbua tuanze kulichakata!
 
Zitto apishe ofisi kwanza ndo tujadili hili, natoa wito mzuieni huyu mtu kuingia bungeni hadi aachie ngazi, koka kanunua nyumba tena yenye hati halali, PAC imekuwa ofisi ya DCI kila siku kufatilia madili tu hawana mipango yoyote ya kututoa hapa tulipo na kupiga hatua ya maendeleo.

Ushauri wa hawa PAC umetugarimu sana, ndo hawa walishauri kuvunja mkataba wa Richmond miezi mitatu kabla ya mkataba kuisha ukatugarimu kweli, sasa wameshauri kutaifisha mitambo ya watu ushauri hata mganga wa kienyeji hawezi kutoa.

Ushauri wao umemtimua muhongo!!!!!
 
Misamsha ya kodi wanajipa viongozi wenyewe kwa Kampuni zao wenyewe, hizo Nyumba wanauziana viongozi wenyewe mpaka kiongozi akibadilishwa eneo la kazi anaenda kuishi hotelini.
Leo hii mnadai serikali haina hela, hizo mnazoiba ndizo za serikali.


Note:
Uingizaji wa mabasi zaidi ya 300 ya UDA amabyo yalipata msamaha wa Kodi.

Pia kumbuka STARBAG kampuni ya ujenzi imeingiza vifaa na inavitumia kwenye ujenzi vikiwa na Number DFP(Hope na zenyewe zina misamaha.)
 
Back
Top Bottom