wilbroad rupia
New Member
- Sep 20, 2014
- 2
- 1
navumilia kuwq Tanzania
Dr. Harrison Mwakyembe atakuwa anajua hizo 9b zimeenda wapi, si alikuwa waziri hapo.Jengo wanasema bilioni 12 gharama halisi bilion 3 hizi 9 zimekwenda wapi jaman?barabara ngapi za mtaani zingejengwa hapa?Kwa nn nyie masisiem mnatuibia hivi jaman?Nina hasira jamani hata ya kujilipua kwa kweli.
Watasema "Mengi amewatuma PAC kulipua ufisadi mwingine maana anaitaka nyumba ya bodi ya mikopo na jengo la VIP"!!
Ngoja waje....
Misukule ya Lumumba itavamia hapa na kuchafua hali ya hewa sasa hivi, wa kwanza kujilipua atakuwa laki si pesa kama sio faizafox kwa pamoja na........
Zitto apishe ofisi kwanza ndo tujadili hili, natoa wito mzuieni huyu mtu kuingia bungeni hadi aachie ngazi, koka kanunua nyumba tena yenye hati halali, PAC imekuwa ofisi ya DCI kila siku kufatilia madili tu hawana mipango yoyote ya kututoa hapa tulipo na kupiga hatua ya maendeleo.
Ushauri wa hawa PAC umetugarimu sana, ndo hawa walishauri kuvunja mkataba wa Richmond miezi mitatu kabla ya mkataba kuisha ukatugarimu kweli, sasa wameshauri kutaifisha mitambo ya watu ushauri hata mganga wa kienyeji hawezi kutoa.
Misamsha ya kodi wanajipa viongozi wenyewe kwa Kampuni zao wenyewe, hizo Nyumba wanauziana viongozi wenyewe mpaka kiongozi akibadilishwa eneo la kazi anaenda kuishi hotelini.
Leo hii mnadai serikali haina hela, hizo mnazoiba ndizo za serikali.