Ufahamu wa sheria za barabarani

Ufahamu wa sheria za barabarani

Msomaliii

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
239
Reaction score
338
Habarini wakuu. Naomba kufahamu kuhusu hizi sheria za barabarani, nimechanganyikiwa baada ya jana jion kukutana na trafiki apa kituo cha segerea akiwa anang'oa plate number ya daladala.

Naomba kufahamu juu ya hizi sheria na mamlaka aliyo nayo huyu trafiki na zipi ni hatua stahiki za kufuata na wapi pa kwenda kupata haki ya msingi ya kila mwananchi katika kuipata haki sawa!!
 
Kosa la kung'oa plate namba ni lipi? Je hiyo plate namba anaipeleka wapi?
 
Kosa la kung'oa plate namba ni lipi? Je hiyo plate namba anaipeleka wapi?
Mkuu niliuliza pale kituoni nikaambiwa anaitoa ila akapewe hongo ya lazima pia ni tendo lililofanyika haradhani mida ya saa1 binafsi nikiwa nashuhudia.
 
Yamkini walikubaliana amsaidie kiibandua imekaa vibaya!
Au wewe Ulisikiaje? Walikuwa wanazozana kwani? ulisikia maneno gani?
ukijibu hayo ndo tutakusaidia sheria
 
Mkuu niliuliza pale kituoni nikaambiwa anaitoa ila akapewe hongo ya lazima pia ni tendo lililofanyika haradhani mida ya saa1 binafsi nikiwa nashuhudia.

Hiyo daladala ni usafiri gani?? Gari au pikipiki, bajaji au,, ?? Je ni yako binafsi au ya mtu.
 
Yamkini walikubaliana amsaidie kiibandua imekaa vibaya!
Au wewe Ulisikiaje? Walikuwa wanazozana kwani? ulisikia maneno gani?
ukijibu hayo ndo tutakusaidia sheria
Haikua vurugu ila raia tulikua tunashangaa na pia wenye kazi zao pale kituoni wanasema amezoea hiyo ni tabia yake.
 
Hiyo daladala ni usafiri gani?? Gari au pikipiki, bajaji au,, ?? Je ni yako binafsi au ya mtu.
Mkuu sidhani kama uko sawa ila ni bus ya abiria pia sidhani kama umesoma post yangu vizur' Nashauri tu rejea hapo juu ili twende sawa mkuu wangu.
 
Ukigoma kupeleka gari kituoni bila shuruti, basi plate namba inachomelewa kwa shuruti kama kawa, mbona huongelei makosa yanayovunjwa barabarani? Hatutaki ajali za kipumbavu tena acha madereva korofi wawajibishe
 
Ukigoma kupeleka gari kituoni bila shuruti, basi plate namba inachomelewa kwa shuruti kama kawa, mbona huongelei makosa yanayovunjwa barabarani? Hatutaki ajali za kipumbavu tena acha madereva korofi wawajibishe
Naomba niulize mkuu' hivi kusimamia sheria ni nani anaepaswa kuwajibika na hilo? Pia kwanini jirani yako akiibiwa hua tunaita kikao cha mtaa kujadili namna ya kudhibiti uhalifu huo mtaan kwako?
 
Ndo maana ni rahisi sana kusema mtoto yule kazidi umalaya na umri mdogo vile katakufa na ukimwi. Sikia kwa wengine siku ikila kwako ndo utaelewa kwann mtoto wa mwenzio nae ni wako mkuu.

ungeacho ni kweli ila sasa hapo trafiki hata kama ukisema ufatirie anaweza kukupa kesi nyingine, ulikaidi ndo maana nikatoa plate namba
 
Traffic officer akikubandikia fine isiyo halali moja ipokee hiyo fine na risiti ila mwambie akuandikie minor offence ili swala lako liende mahakamani ukajitete kwa nini ukustahili kupewa hiyo adhabu tatizo tulio wengi ukisikia mahakamani tayari unakimbilia kujisachi mifuko haki yako huletewi kwenye sahani unaipigania
 
Back
Top Bottom