Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,382
- 33,232
Ugonjwa wa ukoma ni katika magonjwa yaliyosahaulika katika jamii yetu, lakini ugonjwa huu bado upo katika jamii yetu. Miongoni mwa sababu zinazopelekea ugonjwa huu kusahaulika au kuonekana kama haupo ni kuchelewa kujitokeza kwa dalili za ugonjwa huu.
kwa mtu aliyeambukizwa vimelea vya ukoma takribani inachukia kati ya miaka 3 hadi 30 mtu kuanza kuonekana na dalili za ukoma tangu alipoambukizwa.
Kuenea
Ukoma ni ugonjwa wa kuambukiza kwa njia pale mtu mwenye vimelea vya Ukoma ambaye bado hajaanza tiba anapokohoa au kupiga chafya au kucheka.
Dalili
1. Kuwa na mabaka meupe katika ngozi ambayo hayana hisia yaani hayaumi wala kuwasha.
2. Kuhisi ganzi katika vidole vya mikono au miguu au sehemu za viungo.
3. Kujikunja kwa vidole hali hii ikizadi inaweza kusababisha ulemavu.
4. Kutokwa na vitu kama mapele makubwa(nodules) hasa usoni.
Pia mgonjwa anaweza kushika moto na ukawa unamuunguza bila ya kusikia maumivu.
Madhara
Madhara makubwa ya ukoma ni yafuatayo:
1. Ulemavu wa viungo kama mikono na miguu.
2. Upofu.
3. Kutengwa au unyanyapaa na jamii.
Tiba
Tiba ya ukoma ipo na inatolewa bila malipo katika vituo vya huduma ya afya vya Serikali na binafsi.
Tiba ya maradhi ya ukoma, tiba mbadala ni maji ya hinna yanasaidia kutibu maradhi ya ugonjwa wa ukoma akinywa, huyo mgonjwa wa ukoma kwa muda wa siku 40 mfulululizo inshallah atapona huo ukoma wake.
Matayarisho
Namna ya Utengenezaji wa hayo maji ya hinna chukuwa majani ya hinna yawe mabichi kiasi cha mkono wako weka katika maji glasi 3 usiku weka ndani ya jagi la maji funika usiku kucha .
Asubuhi chuja hayo maji kunywa kabla ya kula kitu kisha ukae masaa 2 ndio waweza kula chakula pia unaweza kuongeza na kijiko kimoja cha asali safi ya nyuki kunywa pamoja na hayo maji ya hinna kwa muda wa siku 40.
kwa mtu aliyeambukizwa vimelea vya ukoma takribani inachukia kati ya miaka 3 hadi 30 mtu kuanza kuonekana na dalili za ukoma tangu alipoambukizwa.
Kuenea
Ukoma ni ugonjwa wa kuambukiza kwa njia pale mtu mwenye vimelea vya Ukoma ambaye bado hajaanza tiba anapokohoa au kupiga chafya au kucheka.
Dalili
1. Kuwa na mabaka meupe katika ngozi ambayo hayana hisia yaani hayaumi wala kuwasha.
2. Kuhisi ganzi katika vidole vya mikono au miguu au sehemu za viungo.
3. Kujikunja kwa vidole hali hii ikizadi inaweza kusababisha ulemavu.
4. Kutokwa na vitu kama mapele makubwa(nodules) hasa usoni.
Pia mgonjwa anaweza kushika moto na ukawa unamuunguza bila ya kusikia maumivu.
Madhara
Madhara makubwa ya ukoma ni yafuatayo:
1. Ulemavu wa viungo kama mikono na miguu.
2. Upofu.
3. Kutengwa au unyanyapaa na jamii.
Tiba
Tiba ya ukoma ipo na inatolewa bila malipo katika vituo vya huduma ya afya vya Serikali na binafsi.
Tiba ya maradhi ya ukoma, tiba mbadala ni maji ya hinna yanasaidia kutibu maradhi ya ugonjwa wa ukoma akinywa, huyo mgonjwa wa ukoma kwa muda wa siku 40 mfulululizo inshallah atapona huo ukoma wake.
Matayarisho
Namna ya Utengenezaji wa hayo maji ya hinna chukuwa majani ya hinna yawe mabichi kiasi cha mkono wako weka katika maji glasi 3 usiku weka ndani ya jagi la maji funika usiku kucha .
Asubuhi chuja hayo maji kunywa kabla ya kula kitu kisha ukae masaa 2 ndio waweza kula chakula pia unaweza kuongeza na kijiko kimoja cha asali safi ya nyuki kunywa pamoja na hayo maji ya hinna kwa muda wa siku 40.