Wakili naomba msaada, Nikweli mwajiri anaweza kusitisha huduma za matibabu yani (Medical Insurance) zilizo kwenye makubaliano ya kimukataba..!!? Pasipo kukupa taarifa zozote juu ya hilo nanukimuuliza anakwambia ameshindwa kukuhudumia kwa sababu za kiuchumi, naomba kuelewa hapa.
Maana Mimi mwajiri kasitisha huduma hii na nimemuandikia demand notice anilipe fidia ya M 200/ kwa kunisababishia usumbufu Mimi na familia yangu.