Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,550
- 3,092
Ukweli ndio huo Sasa nendeni mkalale. Au mtukaneni jaji Utamwa.
Taarifa ya serikali???Jamani huyu mtu IPTL kajiunga leo leo na anaibuka na hizi taarifa,kuna nyingine anamtuhumu Zito na Mengi kwa kuchochea huu mgogoro!Jamani huku kwetu hatuna umeme sijui ndio IPTL wamekasirika?? IPTL naomba kujua hii taarifa ya serikali imesomwa lini bungeni na nani ameiwasilisha?Pia wewe kama muhasibu wa TANESCO imekuwaje haraka sana uipate ripoti hii!!
kidumu chama cha mapinduzi
Subiri ndugu muda si mrefu Jaji Utamwa naye ataingizwa kwenye orodha ya mafisadi papa nchini.Ukweli ndio huo Sasa nendeni mkalale. Au mtukaneni jaji Utamwa.
Swali la kujiuliza kwa nini release ya pesa haikuhusisha wabia wote VIP na Mechram ya malaysia?Jee haioni kuwa huyu mbia mkubwa mwenye mitambo alikua ni muhimu ktk deal lolote lile?
watu wanapiga mbesa kwa kwenda mbele ndani ya nchi yangu hii hii kwa mtaji wa lap top na rangi zao tu? Halafu mie napozwa na ka wimbo ka ruge tu.....hellooo helloo tanzania eeehx2
na serikali inajitoa ufahamu kabisa kuwa sio muhusika na wala hizo pesa hazimhusu,wakati huo huo tena yeye ni mdhamini????
Kidumu chama cha mapinduzi
Umejiunga 12 MAY 2014 .........Naona una shughuli maalum.