Michakelvin
Member
- Apr 18, 2021
- 8
- 0
Kuomba ufadhili diploma inawezekan a?
HAKUNA HAIWEZEKANI KABISA.Habari ndugu humu,samahani eti Kuna njia yeyote mtu anaweza kutumia ili kupata ufadhili kutoka serikalini kwa masomo ya ngazi ya diploma akiwa ametoka form 6 katika vyuo vya ufundi Kama DIT
Habari ndugu humu,samahani eti Kuna njia yeyote mtu anaweza kutumia ili kupata ufadhili kutoka serikalini kwa masomo ya ngazi ya diploma akiwa ametoka form 6 katika vyuo vya ufundi Kama DIT
Ndo kina nani hao ndugu nisaidiejaribu help to help wao sio serkal lakin ila ukipass vigezo vyao unapata ufadhili full ada wanakulipia
Ahsante kakaHAKUNA HAIWEZEKANI KABISA.
Jaribu ufadhili kutoka kwenye NGO's
Sijafanikiwa Kaka Kuna namna yakunisaidoa labda?Umefikia wapi mkuu?
Mi mwenyewe nilikua nasubiria majibu toka kwako. Ila twende veta kwanza kuna free course. Deadline 30 mwezi huuSijafanikiwa Kaka Kuna namna yakunisaidoa labda?
?Mi mwenyewe nilikua nasubiria majibu toka kwako. Ila twende veta kwanza kuna free course. Deadline 30 mwezi huu
Kozi zipi hizo kwamfano?Mi mwenyewe nilikua nasubiria majibu toka kwako. Ila twende veta kwanza kuna free course. Deadline 30 mwezi huu