It was okay until "The other guy" came...
A glimpse ya namna wengi wetu tulivyo wabinafsi, wachache mno wanaojali tu maslahi mapana ya taifa. Alipokuja yule anayeamini chama lazima kiwepo na kifanye yote kwa maslahi tu ya nchi/taifa ghafla sana wapingaji wakawa wengi sana, na katiba ikachambuliwa vyema kwamba hairuhusu kurithishana uongozi, halafu hamna uzoefu wa kuongoza chama. Ilipofanyika kwa wenye uzoefu lakini maslahi ya taifa yakawa on bottom of the list then it was okay???? Weird and ridiculous, Ubinafsi at highest order!!!!