uefa ndoo yetu madrid

uefa ndoo yetu madrid

ermokiwa

Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
15
Reaction score
0
madrid,,.da!kombe kama linanukia ivi, mi sioni kikwazo ila sijui ni barca vile,?au mnaionaje majembe yangu ya sports,, imekaa vipi apo!?
 
Mdau mi ni shabiki mzuri sana wa Madrid na sina timu nyingine yoyote nnayoipenda ulaya isipokuwa nawachukia Man U. Lakini kwa mpira tuliocheza jana nnajiridhisha pasipo shaka kuwa mwisho wa safari yetu umewadia. Kwa timu zinazoingia nusu yaani Barca, Bayern na Borussia sioni kibonde chakukiletea yale masihara kisha tusalimike. Tunaweza chezea kipigo kikali kama kile ilichopewa timu ya Gang Chomba.
 
Mdau mi ni shabiki mzuri sana wa Madrid na sina timu nyingine yoyote nnayoipenda ulaya isipokuwa nawachukia Man U. Lakini kwa mpira tuliocheza jana nnajiridhisha pasipo shaka kuwa mwisho wa safari yetu umewadia. Kwa timu zinazoingia nusu yaani Barca, Bayern na Borussia sioni kibonde chakukiletea yale masihara kisha tusalimike. Tunaweza chezea kipigo kikali kama kile ilichopewa timu ya Gang Chomba.
kaka uliyoyaongea ni ya kweli madrid jana kipindi cha pili walileta utoto mwingi, ila kwa soka walilocheza jana kipindi cha kwanza madrid hawana mpinzani kwelekea ndoo ya uefa
 
mshinde kombe wakati bayern munich wapo wapi????

Kaka Bayern mwaka jana hawakutuzidi kimpira bali bahati ilikuwa yao. Mechi ya Bernabeu tuliwashika na tungewapiga hata bao nne ila tulipopata magori mawili tukajua mechi imekwisha, balaa lilianza jamaa walipopewa penati hapo tukapoteana kama jana tulivyoutafuta mpira jana kwa tochi, na tulipoenda kwenye penati tano tano tulishatoka mchezoni. Natamani tupangwe tena na Bayern ili uyaamini maneno yangu.
 
Mdau mi ni shabiki mzuri sana wa Madrid na sina timu nyingine yoyote nnayoipenda ulaya isipokuwa nawachukia Man U. Lakini kwa mpira tuliocheza jana nnajiridhisha pasipo shaka kuwa mwisho wa safari yetu umewadia. Kwa timu zinazoingia nusu yaani Barca, Bayern na Borussia sioni kibonde chakukiletea yale masihara kisha tusalimike. Tunaweza chezea kipigo kikali kama kile ilichopewa timu ya Gang Chomba.
Kibonde hapo Borussia Dortmund ktk wote wa4 wote wanaweza kubeba isipokuwa Borussia Dortmund,na wasiombe wapangwe na FC Barcelona wanafungwa home and away
 
Back
Top Bottom