almeida da silva
Member
- Feb 18, 2018
- 9
- 4
Kulingana na historia ya mechi ya chelsea na barcelona inakua ngumu kutabiri moja kwa moja nani anapita kati ya hizo timu mbili...
Barcelona amekua na msimu mzuri sana na hii inatokana na Magician Messi kutakata katika mechi nyingi huku chelsea wakionekana kusuasua chini ya Antonio conte..
Ikumbukwe tu kua chelsea ni moja ya timu ambayo Leonel Messi hajawahi kuonja ladha ya kuwafunga na tegemezi la chelsea kwa miaka iliyopita King Drogba hayupo tena ndani ya uzi wa blue..
Je tutarajie nini katika mechi hii?? Nani atatakata kati ya Hazard na Messi?? Nani kumtoa wenzake??
Barcelona amekua na msimu mzuri sana na hii inatokana na Magician Messi kutakata katika mechi nyingi huku chelsea wakionekana kusuasua chini ya Antonio conte..
Ikumbukwe tu kua chelsea ni moja ya timu ambayo Leonel Messi hajawahi kuonja ladha ya kuwafunga na tegemezi la chelsea kwa miaka iliyopita King Drogba hayupo tena ndani ya uzi wa blue..
Je tutarajie nini katika mechi hii?? Nani atatakata kati ya Hazard na Messi?? Nani kumtoa wenzake??