UEFA KNOCKOUT STAGE

Feb 18, 2018
9
4
Kulingana na historia ya mechi ya chelsea na barcelona inakua ngumu kutabiri moja kwa moja nani anapita kati ya hizo timu mbili...
Barcelona amekua na msimu mzuri sana na hii inatokana na Magician Messi kutakata katika mechi nyingi huku chelsea wakionekana kusuasua chini ya Antonio conte..
Ikumbukwe tu kua chelsea ni moja ya timu ambayo Leonel Messi hajawahi kuonja ladha ya kuwafunga na tegemezi la chelsea kwa miaka iliyopita King Drogba hayupo tena ndani ya uzi wa blue..
Je tutarajie nini katika mechi hii?? Nani atatakata kati ya Hazard na Messi?? Nani kumtoa wenzake??
bd19b967dd80a6264dd709175181d9b4.jpg
 
Chelsea wakitaka kuifunga Barcelona watumie Mfumo Huu

4-4-2

Defenders
Azpculeta,Rudiger, Christen, Alonso

Midfields

Hazard, Kante ,Fabregas Wilian

Strikes

Giroud , Morata


Hii kikosi ikitulia Baraca anapigwa 3
Wakicheza 4-2-3-1 je?

Defenders; azpilicueta,christensen,luiz,alonso

Defensive mid; kante,fabregas

Attacking mid; hazard,willian,pedro

Forward; morata/giroud
.
.
.
Naona hiki kimetulia zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom