Mida yake bado,Huyu jamaa leo namsubiri kwa hamu sana!! Toka mda natafta uzi wake siupati
Sidhani mkuu, match ya lecercity inaweza oneshwa ktnChanel gani wataonyesha kwenye azam wakuu?
unataka ukabet mkuu?Hivi yule mzee wa nyota bado?
Hizi ni ndoto za maruwani..Bingwa mtetezi Real Madrid anaenda kuvuliwa ubingwa wake na Bayern Munich usiku wa leo pale dimbani Santiago Bernabeu.
Hana uhakika na mechi za leo.Hivi yule mzee wa nyota bado?
PigaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaLahm, Ribery, Robben, Alonso wote wazee hawana ubavu wa kushindana na kikosi kikali cha los blancos!!!