Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,738
- 15,206
Gazeti la Nipashe limechapisha taarifa ya utafiti uliofanywa na TAKUKURU kuonyesha ukubwa wa tatizo la rushwa ya ngono vyuoni hapa nchini, ambapo matokeo yameonyesha vyuo vya Udsm na Udom vinaongoza kwa rushwa ya ngono nchini!!!.
Ikumbukwe vyuo vya Udsm na Udom ni vyuo vya serikali vilivyojaa maprofesa na madoctor wanaoheshimika ndani na nje ya nchi.
Utafiti kuonyesha kwamba maprofesa hao huwa wanafaulisha wanafunzi baada ya kupewa rushwa ya ngono ni aibu kubwa kwa taifa na kwa maoni yangu siku utafiti huo umetoka ilitakiwa itangazwe siku ya huzuni nchi nzima.
Ikumbukwe vyuo vya Udsm na Udom ni vyuo vya serikali vilivyojaa maprofesa na madoctor wanaoheshimika ndani na nje ya nchi.
Utafiti kuonyesha kwamba maprofesa hao huwa wanafaulisha wanafunzi baada ya kupewa rushwa ya ngono ni aibu kubwa kwa taifa na kwa maoni yangu siku utafiti huo umetoka ilitakiwa itangazwe siku ya huzuni nchi nzima.