UDSM POSTGRADUATE SUCCESSFUL APPLICANTS 2018/2019

UDSM POSTGRADUATE SUCCESSFUL APPLICANTS 2018/2019

MJASI LIAMALI

Member
Joined
Mar 26, 2018
Posts
18
Reaction score
5
Habari wana jamii forum,
Ninauliza anayejua majina ya udsm postgraduate walioomba kwa second round yatatoka lini, msaada tafadhari.
 
Kwa wale waliotuma maombi kwaajili ya programu za postgradute studies ( PGD, Master's, na PhD) kwa round ya pili na kuendelea, baua zao za udahili zitatumwa kenye barua pepe zao ndani ya wiki linaloanza tar 29. 10. 2018. Pia, orodha ya majina ya waombaji waliofanikiwa kupata udahili kwenye program zilizobainishwa hapo juu itawekwa ktk website ya chuo ( www.udsm.ac.tz)
 
Waweza pia kupata maelezo zaidi kutoa katika ofisi ya udahili ya kurugenzi ya Postgraduate Studies (DPGS) kwa kuwaandikia katika anuani yao ya barua pepe:
emailButton.png
admission.dpgs@udsm.ac.tz
 
Vizuri
Mbona majibu waliochaguliwa yametumwa kwenye email. Nilitumiwa email tangu mwezi August nimechaguliwa hapo postgraduate[/QUO

Vizuri. Uliomba mwezi wa ngapi? Maana Mimi niliomba huo mwezi wa nane kwenye second round
 
Uliomba mwezi wa ngapi?
Mimi niliomba mwezi wa Tisa but mpaka sasa hakuna majibu yoyote, wanaendelea kutoa ya undergraduate tu. Bora watoe na postgraduate tujiandae mapema si kushtukizwa tu afu unapewa wiki moja
 
Mimi niliomba mwezi wa Tisa but mpaka sasa hakuna majibu yoyote, wanaendelea kutoa ya undergraduate tu. Bora watoe na postgraduate tujiandae mapema si kushtukizwa tu afu unapewa wiki moja
Mimi niliomba mwezi wa 4 nimepata admission letter, juzi nilienda office ya postgraduate kuna mtu aliapply mwezi wa 9 aliambiwa next week wanatoa admission letter. Unaweza kunicheki kwa 0652730221 lakini sio sasa hivi usiku
 
Kwa utangulizi tu, direct cost ni 115,000 kama hauna bima ya afya direct cost ni 215,000.... pia katika ada ni lazima ulipe at least 50% ya ada yako kwa mwaka kabla ya registration. ... kwa mfano ada yako ni 4mil, before registration inatakiwa ulipe at least 1mil kwa sababu ada yako kwa mwaka ni 2mil provided course yako ni ya miaka 2.
 
Back
Top Bottom