mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 821
- 1,337
Nilikua natembelea website ya chuo cha ukweli nikastuka kidogo nilipokutana na hiyo link ya .pdf ambayo lugha yake sikuielewa kidogo,wadau nisaidieni.....hapa mtu akinyimwa kazi akapewa alie serious utasikia oooh aaaaah eeeh...tukipewa kazi jiiiiiiiiiii shame on you.......http://udsm.ac.tz/postgraduate/postgraduate_prosp.pdf