DhulRah
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 251
- 218
Wadau, mwenye taarifa zozote za admission za masters UDSM znatoka lini naomba atusaidie,
Mwanzo wakati tunaapply waliweka tangazo kuwa watatoa majibu July mwishoni lakin mpaka sasa bado hawajatoa, hii delay inasababishwa na nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo wakati tunaapply waliweka tangazo kuwa watatoa majibu July mwishoni lakin mpaka sasa bado hawajatoa, hii delay inasababishwa na nini?
Sent using Jamii Forums mobile app