Udbs ipo acha uongoChuo kizima hakina hata wifi, kwa dunia ya leo ya sayansi na teknolojia bila internet ni sawa na bure.
Habari za wakati huu wadau.
Huku Nikiamini katika uelewa wetu juu ya umuhimu na nafasi ya Chuo kikuu cha DSM katika nchi yetu.
Nimeona ni vema niwasilishe haya labda itasaidia kuboresha chuo chetu hiki na kukifanya kisimame tena hasa wakati huu ambapo kinaporomoka kielimu kwa kasi hatarishi.
Back to my aim,
1-Kwa nini chuo hakina library na maabara japo moja ya kisasa ya biotechnology, Chemistry ama Physics hadi Leo mwaka 2017? Wanafundishaje wanafunzi hapa? Products zinazotoka zipoje?? Kwenye international market zinafit vipi?
NB: asante wachina mnatujengea hii library, maana huenda hawa walimu wetu wasingegundua kama tunahitaji library.
2. nyie mnaohusika na hii website ya chuo, hivi hamuoni aibu??
Hamjifunzi hata vyuo vingine wanafanyaje?
Nini kinawakwamisha? Ukifungua website ukitaka kutafuta kozi za postgraduate unakutana na attachment (world document) imeorodhesha kozi zote za UDSM..
Sasa foreigner anajuaje course contents?
Sio mtaalamu wa haya mambo but it is disgusting kwa chuo kikubwa kama hiki,
Halafu hiyo picha ya mkuu wa chuo what for???? Tena hapa ni vyuo karibu vyote tz ukifungua websites unakutana na picha za wakuu wa vyuo? Who cares? Hebu tuwe serious. We can't market our education in this way.
3.
Mnafanyaje analysis ya mahitaji ya soko?
Wahitimu wenu mnatupimaje kama tunaendana na mahitaji ya jamii kwa wakati husika?
Vipi kwenye soko la kimataifa? Tunafit huko?
4. Mazingira na Miundombinu ya Chuo kwa ujumla.
Mimi nlidhani nikiingia chuoni walau nikute mazingira safi, yanatunzwa na majengo walau yana mwonekano wa chuo kikuu, ukizingatia hapa kuna wataalamu wa mazingira, mainjinia, botanists, zoologists, economists, na wataalamu wa kila aina,
Na jamii kwa ujumla ichukulie UDSM kama sehemu pa mfano wa Kuigwa. Sio mahala pachafu kama palivyo sasa.
UDSM pamoja na kuwa na uoto mzuri wa asili, mazingira haya hutunzwa na mvua za msimu na hata majengo ya chuo yamechoka mithiri ya mabanda ya kufugia ng'ombe ya SUA.
Jamani pakeni rangi japo hilo jengo la utawala,
Au mnasubiri tena Magufuli awaambie mpake kama alivyowaambia mjenge hostel??
Be proactive aisee, or pisheni wakae wengine.
Tizama haya majengo ya chuo kikubwa nchini
Hili la kwanza ni jengo la utawala, Lina minara juu utadhani jengo la Jeshi la kdf, sijui tigo wamefunga mitambo yao huko juu.. I don't know.
View attachment 473913
View attachment 473915View attachment 473916
Meanwhile, vyuo Vingine vya Hadhi ya UDSM
Makerere University-UG
View attachment 473924
View attachment 473917
Cairo University -Egypt
View attachment 473918
University of KwaZulu Natal-SA
View attachment 473919
University of Cape town -SA
View attachment 473920View attachment 473921
NB, UDSM pesa sio shida kwao.
Wala Human resource sio Tatizo .
Hivyo sioni sababu yoyote ya msingi kwa UDSM kutokuwa level za Pretoria University.
Mkuu, hata ile Library mpya inayojengwa pale itakuwa kama mapambo tu. Wanafunzi wa UD huwa hawapendi kabisa kusomea library... Wana aleji nayo!
Kitaaluma sahau kimajengo sawa tatizo la udom walicopy everything from Udsm afu strength ya Udsm wanafunzi waliopass sana ndo wanachaguliwa tofauti na udomHata udom huenda itapita UDSM
Chuo kizima hakina hata wifi, kwa dunia ya leo ya sayansi na teknolojia bila internet ni sawa na bure.
sikatai ukosoaji wako,
website mbovu nakubali, miundombinu ya miaka ya 70 haiwezi kuendana na mahitaji ya sasa hata kidogo.
unapaswa kufahamu idadi ya wanafunzi imeongezeka maradufu ukilinganisha na facilities zilizopo.
Sijaona point yoyote uliyoongea zaidi ya personal biases zako.Hivi unajua vigezo vinavyotumika kupima ubora wa chuo.Kwa taarifa yako UDSM ndio chuo kinachoongoza kwa ubora East and Central Africa.Kwa Africa kinashika nafasi ya 13 kikizidiwa na vyuo vya South Africa pamoja na cha Misri.Just google it for your reference.
Anyway siku nyingine jipange unavyoanzisha thread manake inaonekana UDSM huijui kabisa kama sisi wahitimu tunavyoijua na tunavyokua proud kusoma kwenye chuo kinachotambulika international
Ni kweli UDSM tuna madhaifu fulani lakini si kwa kiwango hicho cha mtoa mada hajui kuwa serikali ingewekeza UDSm tu basi yeye leo hii angekuwa na certicate yake / Diploma mana Chuo chake cha UDOM kisingejengwa na matokeo yake ungeishia diploma mana sifa za kusoma UDSM hakuwa nazoSijaona point yoyote uliyoongea zaidi ya personal biases zako.Hivi unajua vigezo vinavyotumika kupima ubora wa chuo.Kwa taarifa yako UDSM ndio chuo kinachoongoza kwa ubora East and Central Africa.Kwa Africa kinashika nafasi ya 13 kikizidiwa na vyuo vya South Africa pamoja na cha Misri.Just google it for your reference.
Anyway siku nyingine jipange unavyoanzisha thread manake inaonekana UDSM huijui kabisa kama sisi wahitimu tunavyoijua na tunavyokua proud kusoma kwenye chuo kinachotambulika international
Labda upo outdated, naomba link ya hiyo no.13mtoa thread unachekesha kweli eti kwenye ranks za Africa kinajikita mkiani kweli nimeamini wewe ni kilaza std 7.Chuo kinashika nafasi ya 13 katika Africa alafu unasema kipo mkiani hahaaaaa.Ndio maana nimekwambia jipange unapotoa thread humu kama vigezo tu vinavyotumika kupima ubora wa chuo huvijui eti unataka majengo kupakwa rangi,bustani na mazingira kama vigezo vya kupima ubora wa chuo duuh shame on you
My friend, I am very updated, naomba link ya hiyo no.13.Sijaona point yoyote uliyoongea zaidi ya personal biases zako.Hivi unajua vigezo vinavyotumika kupima ubora wa chuo.Kwa taarifa yako UDSM ndio chuo kinachoongoza kwa ubora East and Central Africa.Kwa Africa kinashika nafasi ya 13 kikizidiwa na vyuo vya South Africa pamoja na cha Misri.Just google it for your reference.
Anyway siku nyingine jipange unavyoanzisha thread manake inaonekana UDSM huijui kabisa kama sisi wahitimu tunavyoijua na tunavyokua proud kusoma kwenye chuo kinachotambulika international
Suala sio kusahau, suala is how you maintain your ability and consistently excellKitaaluma sahau kimajengo sawa tatizo la udom walicopy everything from Udsm afu strength ya Udsm wanafunzi waliopass sana ndo wanachaguliwa tofauti na udom
Bro nimesoma O'leve na A'level kwa ufaulu wa juu kabisa, na A'level nilsoma PCB.Ni kweli UDSM tuna madhaifu fulani lakini si kwa kiwango hicho cha mtoa mada hajui kuwa serikali ingewekeza UDSm tu basi yeye leo hii angekuwa na certicate yake / Diploma mana Chuo chake cha UDOM kisingejengwa na matokeo yake ungeishia diploma mana sifa za kusoma UDSM hakuwa nazo
Wakati mwingine ulete reliable sources. Na hili nalo tulaumu vyuo vyetu?http://allafrica.com/stories/201402032011.html
East Africa:University of Dar Es Salaam Tops East Africa Top Web Rankings