UDSM hawamtaki rais mpya aliechaguliwa

Wizzo

JF-Expert Member
Nov 28, 2010
723
255
jaman kunauchakachuaji umetokea ktk uchaguzi wa rais wa daruso rais aliechaguliwa hatakiwi na wanachuo,wanachuo wanampango wa kuandamana wanataka katiba ibadilishwe na wafanye uchaguzi tena
 
wanadai eti ni kada wa magamba,wale wagombea wote waliosadikika wa chadema waliondolewa mapema kweny screening
 
Uchakachuaji kivipi?...ni imani yangu kwenye kila kituo kulikuwa na mawakala wa kila mgombea, ulinzi wa polisi na waliopiga kura ni wale wanachuo halali waliokuwa kwenye register na waliokuwa na vitambulisho....naamini hata kwenye kuhesabu kila kitu kilienda sawa, sasa kama kuna mtu kashindwa akubali tu kuwa hiyo ndo demokrasia.....inawezekana labda kulikuwa na mgombea maarufu ambaye alifikiri atashinda sbb ya umaaarufu sasa kama wapigakura hawajatokea atashindaje?

Kitu kama hicho kiliwahi kutokea CBE-DSM campus pale mgombea aliyetegemewa na wengi atashinda matokeo yake akashindwa sasa wapambe wake wakataka kuleta fujo kuvuruga ili uchaguzi urudiwe lkn ikashindikana...so hao walioshindwa wawe wapole tu waruhusu demokrasia ichukue nafasi yake
 
uchakachuaji ulitoke wakati wa kuchagua majina ya wagombea,imagin kati ya wanachuo 20000 waliopiga kura ni 3000.dhahir watu waliosimamishwa hawakupendwa na watu waliokua wanapendwa majina yao hayakurudi
 
Uchakachuaji kivipi?...ni imani yangu kwenye kila kituo kulikuwa na mawakala wa kila mgombea, ulinzi wa polisi na waliopiga kura ni wale wanachuo halali waliokuwa kwenye register na waliokuwa na vitambulisho....naamini hata kwenye kuhesabu kila kitu kilienda sawa, sasa kama kuna mtu kashindwa akubali tu kuwa hiyo ndo demokrasia.....inawezekana labda kulikuwa na mgombea maarufu ambaye alifikiri atashinda sbb ya umaaarufu sasa kama wapigakura hawajatokea atashindaje?Kitu kama hicho kiliwahi kutokea CBE-DSM campus pale mgombea aliyetegemewa na wengi atashinda matokeo yake akashindwa sasa wapambe wake wakataka kuleta fujo kuvuruga ili uchaguzi urudiwe lkn ikashindikana...so hao walioshindwa wawe wapole tu waruhusu demokrasia ichukue nafasi yake
democrasia gani unayoiongelea,hakuna democrasia bongo
 
Lakini si kachaguliwa kwa kupigiwa kuqa au? Nakumbuka mwaka 2007/2008 kuna jamaa alibebwa na uongozi akapigiwa kura na watu kama mia hivi lakini baadae aliondolewa na bunge. So kama hawamtaki waongee na wawakilishi wao (wabunge) ili wamuengue kwa kufuata utaratibu wa kikatiba..
 
Lakini si kachaguliwa kwa kupigiwa kuqa au? Nakumbuka mwaka 2007/2008 kuna jamaa alibebwa na uongozi akapigiwa kura na watu kama mia hivi lakini baadae aliondolewa na bunge. So kama hawamtaki waongee na wawakilishi wao (wabunge) ili wamuengue kwa kufuata utaratibu wa kikatiba..
yap,jamaa ndo wapo kwenye mchakato wampige chini
 
uchakachuaji ulitoke wakati wa kuchagua majina ya wagombea,imagin kati ya wanachuo 20000 waliopiga kura ni 3000.dhahir watu waliosimamishwa hawakupendwa na watu waliokua wanapendwa majina yao hayakurudi

upuuzi huu,acheni wamalize mwaka kwa amani!
Kama mnajua mlowataka hawa kupitishwa kwenye screening kwanini
hamkuanza kuwakataa wote toka mwanzo?

Kama hamjajiandaa vyema na UE msisumbue watu,pakini mizigo mwende kwenu
wapuuzi nyie
 
Uyu dogo nlisikia akipiga kampeni,yeye kama yeye anaweza uongozi. Ila nliona gari anayotumia mhh kwa kweli ni ya hadhi kubwa. Na wanachuo wanadai ana hela chafu! Tatizo pale udsm ni siasa za vyama,ukiangalia uvccm inakubalika kwenye utawala wa chuo na imejiimarisha sana na muda mrefu,mfano kabla ya kupendekeza rais,uvccm ukutana kwa siri kule k/koo udsm kupanga jinsi ya kumdhibiti mpinzani. Siku izi nasikia nasikia bavicha ina wanachuo wengi na sapoti kubwa ila haijaimarisha uongozi wake pale udsm,ndo maana ktk screening wengi huishia apo! Siasa siasa siasa!
 
wanadai eti ni kada wa magamba,wale wagombea wote waliosadikika wa chadema waliondolewa mapema kweny screening
Walipaswa wagomee uchaguzi kwanza. Unanikumbusha enzi za Odwang Odwaa, Anthony Machibya na Kiswaga, enzi hizo tulikua tunachapa makunji ki ukweli ukweli, DARUSO-UDSM ilikuwa smart kweli!
 
uchakachuaji ulitoke wakati wa kuchagua majina ya wagombea,imagin kati ya wanachuo 20000 waliopiga kura ni 3000.dhahir watu waliosimamishwa hawakupendwa na watu waliokua wanapendwa majina yao hayakurudi

kwani nani anaye fanya screening?
 
Walipaswa wagomee uchaguzi kwanza. Unanikumbusha enzi za Odwang Odwaa, Anthony Machibya na Kiswaga, enzi hizo tulikua tunachapa makunji ki ukweli ukweli, DARUSO-UDSM ilikuwa smart kweli!

sure,sasa sijui huku kukataa matokeo wame jifunza wapi saivi
badala ya kukataa mchakato wa uchaguzi mapema kabisa
 
Hivi udsm cku hz mmerogwa au?mbona Daruso haina makali kama zamani..poleni sana,tatizo kumekuwa na makundi ndio sabb hata hamna umoja,fanyeni reflection ya miaka 5 nyuma.kulikuwa hapatoshi kwny inshu kama hii.
 
kama hakuballiki wamwachie ongoze kama jk, yatamshinda tu, cha msingi nikumdhibiti kwenye matumizi ya pesa yenu na kuhakisha anaitisha vikao vyote halali ilikuhoji maendeleo ya uongozi wake. Mtamweka kwenye tention mpaka aone urais ni mchungu.
Yatampata ya jk kama ametoka magambani.
 
Back
Top Bottom