UDOM watalipa 20000 za watu kweli.!!??

UDOM watalipa 20000 za watu kweli.!!??

RaqLuceiro

New Member
Joined
Jul 23, 2017
Posts
2
Reaction score
0
Jamani kwa wale walioapply UDOM before agizo la waziri, wakatozwa 30,000 as application fee. UDOM itarudisha hizo pesa na wakate 10,000 yao tu.
 
Nadhani watatumia tu ule msemo wa wahenga " Kiendacho kwa mganga...."
 
Back
Top Bottom