Taifa hili watu wake walitakiwa wasome elimu ya kati ya ufundi mpaka 2050.. Baada ya hapo automatically kutakuwa na mahitaji ya wanataaluma wengine baada ya hawa technicians na engineers kutengeneza mamilioni ya ajira... Twendeni tukajifunze China, Korea, India, Indonesia, Brazil, Japan nk. Elimu ya ufundi na teknolojia ikitolewa vizuri itatengeneza mamia na maelfu ya ajira na kuajiri wengine...