amos nicholaus
Member
- Sep 20, 2015
- 22
- 61
bro nimechaguliwa HEALTHY INFORMATION SYSTEM unaipataHongereni sana mliochagiliwa hukoooo
bro nimechaguliwa HEALTHY INFORMATION SYSTEM unaipataHongereni sana mliochagiliwa hukoooo
watatoa 2nd batch acha wengekwa hiyo sie wa second round ndio tushaaaaa.......!!
Mmmmmh hii link ya vp mbona haifungukMajina haya katika mfumo wa PDF https://www.jamiiforums.com/attachm...1/?temp_hash=d245b75d9f2b36d24677d9e07c275876
portable Document File PDFMmmmmh hii link ya vp mbona haifunguk
Poa nmeshayapata mkuuportable Document File PDF
Weka ya Environmental eng. Mkuu..lete jina lako nikuangalizie
Iko poa sana japo haina muda tangu waanzishe palebro nimechaguliwa HEALTHY INFORMATION SYSTEM unaipata
Tumia WPS Office inafungua bila mbwembwe.oya mtusaidie kuiconvert bas hyo xlxs file ije kwenye reader za kawaida maana kizembe zembe haifunguk
KWA PDF <<BOFYA HAPA>oya mtusaidie kuiconvert bas hyo xlxs file ije kwenye reader za kawaida maana kizembe zembe haifunguk
PAKUA <<HAPA KAKA>>Mmmmmh hii link ya vp mbona haifunguk
bro nimechaguliwa HEALTHY INFORMATION SYSTEM unaipata
hahahaaaa! kweliBatch ya kwanza tu
samhan naomba kuuliza coz nimona wote hao walichaguliwa ni direct entry mode so kwa mfano mtu amemaliza diploma na anataka ku aplly vp haruhusiwi au inakuaje hapo?