UDOM vs Mwalimu Nyerere Memorial Academy

geee kay

Senior Member
Mar 21, 2015
112
63
Ndugu wana JF kati ya Udom na Mwalimu Nyerere memorial academy kigamboni kipi ni chuo kizuri kwa ajili ya kusoma programme yoyote ya shahada
 
Hongera ndalichako otherwise huyu mtoa mada angekuwa yupo udsm ... Kwa uandishi wako unastahili kwenda global college
 
Hongera ndalichako otherwise huyu mtoa mada angekuwa yupo udsm ... Kwa uandishi wako unastahili kwenda global college
Tatizo lako unajiona upo Udsm unavimba kichwa watu tushapita hapo tupo world class university tofauti na wewe uliyebebwa bibo au unaishi common room
 
Hongera ndalichako otherwise huyu mtoa mada angekuwa yupo udsm ... Kwa uandishi wako unastahili kwenda global college
Hujui kwanini nimeamua kuandika hivyo kilaza wewe ,kasome jinsi ya kutafuta attention,na utakuwa unasoma Baed udsm ,ungekuwa COET ningekusikiliza kidogo
 
Hujui kwanini nimeamua kuandika hivyo ****** wewe ,kasome jinsi ya kutafuta attention,na utakuwa unasoma Baed udsm ,ungekuwa COET ningekusikiliza kidogo
Nani kakwambia Mimi ni mwanafunzi ebooooo huko tulipita kitambo we kilaza Wa chuo
 
Ndugu wana JF kati ya Udom na Mwalimu Nyerere memorial academy kigamboni kipi ni chuo kizuri kwa ajili ya kusoma programme yoyote ya shahada
Ni vizuri ukiwa na programme fulani in mind ili watu waweze kuchangia vizuri. Ni vigumu kusema chuo fulani ni kizuri kushinda chuo kingine kwa program zote.
 
Ndugu wana JF kati ya Udom na Mwalimu Nyerere memorial academy kigamboni kipi ni chuo kizuri kwa ajili ya kusoma programme yoyote ya shahada
Huwezi kulinganisha taasisi hizi kutumia tu. Ni lazima umeme unataka kulinganisha katika nini?
 
Back
Top Bottom