hizo mbona zipo? kwani
hao marais wanapeleka maji udom? au serikali ya TZ? vipi udini safari
hii hamna? au bado hawajapewa maelekezo? cha msingi chgueni watu makini
wenye hoja ya kuwatetea watu wanaoonewa kwenye sup na carry,na masuala
ya mikopo, ayo masuala ya maji, umeme hayawahusu.